Manchester United (Red Devils) | Special Thread




Head to head: Robin van Persie and David Silva will square up in Sunday's derby at the Etihad Stadium







Friends reunited: Carlos Tevez (left) and Wayne Rooney once played together in red... but these days they line up on opposing sides





Safe hands: Joe Hart, one of the world's best goalkeepers, will line up for City on Sunday








 
Naona mnajaza ka-jeshi kakukodi tu, msikimbie wakati wa mpira muwe live mpate vidonge vyenu ... ... ... ... nasikia Inzi kaanza kuadimika na mtoto wa shamba anaanza kutapatapa chijui BJ atatokea J2 oops atakuja baada ya maumivu kwi kwi kwi ... ." nilimpa salam kwa Eqlpzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz kule ICU khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee waulizeni Chelsick ati wao wanacheza mpira kwa majina . ... ... ... ati mwaka huu watapata Oscar khe khe kheeeeeeeeeeeeee thubutu!
 

Wewe mpiga kelele Wacha1 na Wacha kuja uangalie soka linavyochezwa.
 

Attachments

  • c8705ce015efccdf3e930468ce76e460.jpg
    45.2 KB · Views: 34
Last edited by a moderator:
Wewe mpiga kelele Wacha1 na Wacha kuja uangalie soka linavyochezwa.




Carlito's Wahey atafanya kazi yake khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kuangalia mpira wa brown envelopes sio kazi ndogo khe khe khe kheeeeeeeeee
 

Nachikia kabumbu limekwisha .. .... ..
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee

Huyu Mancini shenz sana wapi Carlos .. ... .. . hajui dawa ya Manure .. ... ..
 
Machabiki koko wa Manure wako kwenye hibernation khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Balo anawakosakosa hapa hadi chacha mpira unachezwa kwenye half ya Manure .. ... naona Mancs wamekamia hii mechi .. ... .baada ya kutolewa kwenye CL .. ... .. wapi Belo na Manda wanachubiri kubebwa ndio waje .. ... ... .bora BJ kakimbia mapema. Wine Romney anabandika goli .. ... .... ....

Mancs 0 - 1 Manure ... ...
 
Kabisa Mkuu Questt hata kabla ya HT wameshapigwa 2 mtungi wasipokuwa makini wanaweza wakapigwa hata nne kabla ya HT.

Mancini haamini anachokiona......!!! hali mbaya.....
 
Last edited by a moderator:
Belo, Manda, Nzi njoeni basi mambo yenu sio mabaya mmekutana na vibonde wenzenu ombeni Carlos aendelee kukaa benchi ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee wapi Mfarisayo naona BJ analog in ... ... ...

Nasikia
Ndetichia ame-log off ... ... ...
 
Belo, Manda, Nzi njoeni basi mambo yenu sio mabaya mmekutana na vibonde wenzenu ombeni Carlos aendelee kukaa benchi ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee wapi Mfarisayo naona BJ analog in ... ... ... Nasikia Ndetichia ame-log off ... ... ...
Carlos hatishi sana mi namuoga Djeko.
 
Semeni nyie man city na majeshi yenu yote ya kukodi........... kweli bado man u anabebwa????
 
At 27 years and 46 days, Wayne Rooney is now the youngest player to reach 150 Premier League goals.
 
Ma-pundits wa kiingereza wamechukia ile mbaya .... .... ... .... .. wanataka Manure wafungwe.... ... ... ... ... maana walifikiri Mancs hawatafungwa mwaka huu khekhe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Carlos anajiandaa kuingia .... .... naona kutakuwa na kazi chacha ngoja tione ... ... ...
 
Mfarisayo unaona kazi ya Calito ... ... . . Mancs one back .. ...
 
Ashley Young is one of only three players to provide 50+ Premier League assists since the start of the 2006-07 season, along with Cesc Fabregas and Wayne Rooney
 
Chacha tukichema mnabebwa mnalalamika hebu tuelezeni hapo Wine Romney hiyo ingekuwa second yellow then refa hataki kucheza advantage ... ... .. .
 
Dah ngoma ya kitoto na kubebwabebwa haikeshi 2 - 2 khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee 5 minutes plus Fungie time ... ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…