Head of Sport and Development wa Red Bull bwana Ralf Rangnick anawindwa na United kukalia kiti cha DoF
Huyu mjerumani ndiye aliyeipandisha RB Leipzig ya Bundersleague
Ralf ndio jina la karibuni kuhusishwa na nafasi hiyo katika klabu ya United baada ya akina Rio, Fletcher, Van De Sar, Mitchel na wengineo kupigiwa chapuo kupewa jukumu hilo zito