√Hiki kinachotokea ndo kile tunacholia nacho kila siku..consistency..Martial anacheza mechi moja vizuri nyingine hovyo..Tunahitaji No 9 wa kueleweka
√Sijawahi kumkubali Perreira..ni bora kwenye kitu gani??..Tunahitaji play marker ambaye pia anaweza kutoa key passes za uhakika
√Kuna watu wanamlaumu sana Fred ila mimi naona anapambana anapass foward,anatuliza timu n.k..anamiss kitu kwenye kukaba,anakuwa na Papara..
√Hii timu bila Pogba hatuwezi kabisa kutengeneza nafasi za kueleweka..Tunaomchukia huu ukweli lazima utuume
√On and Off that our mood this season..leo sherehe kesho msiba..inabidi tuzoee tu,no way