Tunaisubiri hiyo Tactical ije ifanye kazi tena ANFIELD.Nimewashangaa sana..yaani jamaa tumewakamata kinoma kwenye ile mechi na kama Ole angezidisha mtu mmoja kwenye midfield tulikuwa tunachukua point zetu tatu
Hawa skysport wanaumwa pia haiwezekani wawarate wachezaji wa liverpool 5 na 6 na wawape man u 6 7 na 8 wakati king ngwaba anajitapa walicheza vizuri na wana possesion kubwa.
Manchester United 1-1 Liverpool player ratings: Marcus Rashford the top performer
Adam Lallana came off the bench to cancel out Marcus Rashfords first-half goal at Old Trafford on Super Sundaywww.skysports.com
Kubali kataa liverpool vs man u tactically Ole alimzidi klop.
Naona shida ya hao jamaa dully jr na mwenzake King Ngwaba wanashindwa kutofautisha ball possession na neno tactically . Wanafikiri kila anayeongoza ball possession ndiyo huibuka mshindi. Wajifunze kwa Diego Simeon, Mourinho na hata Alex Ferguson, mpira hawaposses sana, Ila kwenye matokeo sasa.
Kubali kataa liverpool vs man u tactically Ole alimzidi klop.
Mpira wenyewe hujui
Sasa tubase kwenye hizo stat zako..Haya sio maneno ya Kimpira Kuwa Mtu kama wewe.
Lete stats hapa tuone huko kuzidi kwake ni kupi?
Mimi sikuhizi si Mtu wa kudeal tena na Majigambo! Ninatembea na Stats tu!
Lete stats tuthibitishe unachokisema! Huna stats basi tuishie hapa kwani Mjadala (Discussion) bila ya Facts (Stats) ni Mabishano (Argument) jambo ambalo halina faida yoyote kwa wewe wala Mimi.
Achana na stats, mara ngapi timu zimefungwa huku zikiwa zinaongoza kwa hizo stats? Hivi Man City akifungwa, huwa ni kwa kuwa alizidiwa stats? Jifunze kuhusu ball tactics uielewe ni kitu gani ndipo urudi.Muda wa Majigambo ya Ngojera umeshapitwa na wakati. Leta Stats hapa as a backup kwa unayoyasema. Tutajuaji kama Tactically alikuwa bora wakati hapana backup yoyote ya Kuprove hilo?
Only stats speak! Period
Halafu kwani hapo Mulichozidiwa ni Possession tu? Shots? Chances created? Attempts? Passes? Au unajitia upofu?
Prove me wrong baada ya kuleta Stats, Nothing else
Tactically ile game mlichemka..klop alibaki kulialia tu ka mwendawazimu
Possession na mambo mengine hayo hayana umuhimu na nitofauti kabisa na tactics
Achana na stats, mara ngapi timu zimefungwa huku zikiwa zinaongoza kwa hizo stats? Hivi Man City akifungwa, huwa ni kwa kuwa alizidiwa stats? Jifunze kuhusu ball tactics uielewe ni kitu gani ndipo urudi.
Sasa tubase kwenye hizo stat zako..
Mbona hukushinda??,,na we all know mlikuwa favourite kwenye huu mchezo
Niletee hizo ratings zinazoonesha kwamba wachezaji wa liverpool walicheza vizuri zaidi.Najitapa mimi tena? Unataka kuuaminisha umma kuwa mimi Ndiye mmiliki wa FA na Barclays kwa ujumla?
Au unataka kuuaminisha umma kuwa mimi ndiye Moderator wa App ya Barclay? Coz takwimu zipo kwenye App & Website ya Barclay!
Nyinyi mumeweka hisia! Mimi nimeweka Stats, Then unasema ninajitapa! Haya bhana.
Enewey! Ratings ni kitu cha mwisho kwenye mpira kwani kila Mtu anarate kulingana na alivyouona mpira! Huyo Admin wa SkySports ameweka ratings zake kulingani na alivyoona! Ukienda kwenye sites nyengine utakuta ratings tofauti! Kila Mwandishi anaweka ratings zake anavyopenda na Ndiyomana sijakuletea ratings za Echo hapa kwasababu wamewarate wachezaji wa Liverpool rate kubwa kulingana na Walivyoona mpira.
Kwahiyo SkySports has nothing to do kwenye football linapokuja suala la Stats za uwanjani.
Hawa skysport wanaumwa pia haiwezekani wawarate wachezaji wa liverpool 5 na 6 na wawape man u 6 7 na 8 wakati king ngwaba anajitapa walicheza vizuri na wana possesion kubwa.
Manchester United 1-1 Liverpool player ratings: Marcus Rashford the top performer
Adam Lallana came off the bench to cancel out Marcus Rashfords first-half goal at Old Trafford on Super Sundaywww.skysports.com
Kubali kataa liverpool vs man u tactically Ole alimzidi klop.
Hakuna aliyeshinda na aliyeshindwa, tunabadilishana uelewa.Sirudi tena Mkuu umeshinda
Wakati tunasubiria hio mechi ya Anfield, tujikumbushe kwamba Klop kaifunga Man U mara 1 tu tena wakati tuna Mgogoro wa mou, na ukitoa Goli la lalana la juzi last time liverpool kuwafunga man U open play pale theatre of dreams ni lile goli la benteke, hivyo tukisubiri hio mechi fanya Homework benteke alicheza lini Liverpool,Basi sawa tusubiri pale anfield itakuwaje
4 kesho naziona zinarudiWazee wa Mbwe mbwe jumatano tunawanyoa kwa chupa...
#nyiekukuniwetu
Kila la kheri Chelsea
Hawa jamaa wangekuwa wanaongoza ligi tungehama mitaa kushinda kamechi kamoja wanajiona wana timu nzuri sana.Basi sawa tusubiri pale anfield itakuwaje
Mimi nimeshaacha huu Mjadala! Nikubali tu hatukushinda kwasababu hatukuwa na uwezo. Period
Hivi kuna timu iliozoea kubeba makombe uingereza kuliko man u? Man U hii mbovu na makocha wote wana makombe moyes kachukua, lvg, Mou bado na Ole.Hawa jamaa wangekuwa wanaongoza ligi tungehama mitaa kushinda kamechi kamoja wanajiona wana timu nzuri sana.