mpira unaraha.norwich hawa hawa ndo walimfunga mancity na kudraw na chelsea leo kwa man u ambayo kila siku wanasema mbovu ilitakiwa wawafunge norwich goli 5.
mpira unaraha.norwich hawa hawa ndo walimfunga mancity na kudraw na chelsea leo kwa man u ambayo kila siku wanasema mbovu ilitakiwa wawafunge norwich goli 5.
mpira unaraha.norwich hawa hawa ndo walimfunga mancity na kudraw na chelsea leo kwa man u ambayo kila siku wanasema mbovu ilitakiwa wawafunge norwich goli 5.
Anajua mkuu, hao madogo waliopiga wote wanakuonesha kabisa upande wanaopiga,ni rahisi kuotea ila sio kwa Pereira au Mata, kipa anaenda Chato mpira unaenda Kakonko.