Huyu ndio kwenye World Cup, zilipokuwa zinakaribia dakika za penati, kipa namba moja wa Uholanzi alitolewa ili kumpisha yeye akae katikati ya milingoti
Anajua mkuu, hao madogo waliopiga wote wanakuonesha kabisa upande wanaopiga,ni rahisi kuotea ila sio kwa Pereira au Mata, kipa anaenda Chato mpira unaenda Kakonko.