Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa akili yako unadhani Bayern watamuuza? Au huyo Lewandowski atakubali kuja timu inayoshuka daraja?
 
Sasa mfano Rashid akatua pale Liverpool ..atacheza tu moja kwa moja fest XI? Mimi na uhakika orig akija OT atakipiga mwanzo misho fest XI
Orig hana toafaut na lukaku sema kachangamka ikiwa tumefukuza lukaku ambae premier league ana goli zaidi ya 150 orig ni nani? Hiv zile bahat za barcelona mnafikir zipo kila uchwao et?
 
Hapa anaumia mshabiki wa chelsea yaani hadi kaanza na calculation unaumiza akili kwa timu ambayo haikuhusu na hesabu juu brother unapata wapi muda wa hovyo hivi?
 
 
Orig hana toafaut na lukaku sema kachangamka ikiwa tumefukuza lukaku ambae premier league ana goli zaidi ya 150 orig ni nani? Hiv zile bahat za barcelona mnafikir zipo kila uchwao et?

Origi hapo Everton tu hapati namba
 
Hapa anaumia mshabiki wa chelsea yaani hadi kaanza na calculation unaumiza akili kwa timu ambayo haikuhusu na hesabu juu brother unapata wapi muda wa hovyo hivi?
Kama nakuona unaandika huku roho inauma kwa ukweli. Yan nafsi inakusuta
 
Kama nakuona unaandika huku roho inauma kwa ukweli. Yan nafsi inakusuta
Mi roho haiumi najua mwenendo wa timu na aina ya usajili ila kama unamsajili mess au ronaldo unapata matokeo mabovu lazima upagawe angalia na kikosi chako unaweza kujiua huwez kuwa na matarajio makubwa kwa kiungo cha scott bado mdogo ana cha kujifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…