Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

OGS naona kishakatiwa tiketi ya kurudi kwao Norway mapema,wanamsubiria baada ya mechi ya Liverpool wamkabizi.

Najua majirani mnaomba mpate hata sare,tatizo kitambaa hakitoshi.Poleni sana kwani mnapitia kipindi kingumu sana.
 
Wale United pure naona wapo kimya, ila wale plastic fun dio wamegeuka mavuvuzela. Liwake jua inyeshe mvua, kipigo kipo palepale.

Fainal score. United 0-2 Liverpool

Tukutane OT mitaa ya 18:30.
 
No Matic, Degea available?
Screenshot_20191020_122756_com.android.chrome.jpeg
 
Yeyote atakayeshinda leo kati ya liver na Man mimi nitampongeza ..ila kwa sasa niko upande wenu wakuu ..fanyeni kweli chinjeni zile kuku kwa chupa ..ningemshauri Ole amcheki Mourihno ampe mambinu ya kukaba zaidi na kushambulia kwa kishtukiza ..awa liver ni walaini sana wanafungika tu tena mna Bissaka apo back kwa nin Rashid asitambe. Niwaambie tu ukweli ..Man united ndo timu yeny ukuta mgumu zaidi EPL ..kama mkifanikiwa kumkamata Mane basi yule firminyo na salah amna kitu mule ..apo kati niwekeeni mtu mzima Matic na Mctomarry Fred apande mbele kidogo ili kusukuma mashambulizi. Masho kama kawa auwe winga ya kushoto kule liver kuna lovren ivyo utakua uchochoro, lingard na rashid wakisimama apo mbele mbona Adrian/Allison ataomba poo apo sjamgusia Degea mikono buku hahaha ..yani naona leo liver akifa mbele yenu kabisa yule fabinyo keita amna kitu mule wanaruka ruka tu ..Dalot na Magwaya watawafanyia roho mbaya ..nipigieni izo Liverpool mapema tu within 20 minits muwe na at least goli mbili

Dah ichi nilichoandika apa naona kabisa kitakuwa ni kinyume chake

Kila la kheri Man united ..mkizingua nawakataa

Come on Man u
Atakaekuamini wewe ni sawa na kuziamini habar za kigogo wa twita
 
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
Nitarudi saa 20: 25.
 
Wapenzi wa dhati kabisa wa hili chama tutakuwa tunalisapoti kwa kuangalia kila game si kwa hii Tu Big Match zote sisi tupo tu

Na hatuombei mabaya kabisa timu haijalishi kama tunataka kocha atimuliwa au vinginevyo tunachotaka sisi ni ushindi tu mara nyingi tuwezavyo na kupambana kwa vijana wa United

GGMU
Mkuu nimependa spirit yako
We are united
Kwangu hii ni game ambayo huwa naisubir msimu mzima
Wapenzi wa dhati kabisa wa hili chama tutakuwa tunalisapoti kwa kuangalia kila game si kwa hii Tu Big Match zote sisi tupo tu

Na hatuombei mabaya kabisa timu haijalishi kama tunataka kocha atimuliwa au vinginevyo tunachotaka sisi ni ushindi tu mara nyingi tuwezavyo na kupambana kwa vijana wa United

GGMU
Yes We are United
GGMU
 
Back
Top Bottom