Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
According to stone (Mwandishi wa habari wa BBC na mtu wa karibu wa Ed Woodward), Ole amemuambia Ed Woodward anahitaji wachezaji 9 Ili Man UTD ikae vizuri, na maneno haYa Ed ameambiwa kabla Dirisha la usajili halijafunguliwa.Ishu sio kumuuza Lukaku..ishu ni je alimuuza ili awape nafasi Martial na Rashford??..Kwanini hakuingia sokoni kutafuta straika mzuri??..
Kudadeki huyu bwana EDIUJI huyu hata simuelewiAccording to stone (Mwandishi wa habari wa BBC na mtu wa karibu wa Ed Woodward), Ole amemuambia Ed Woodward anahitaji wachezaji 9 Ili Man UTD ikae vizuri, na maneno haYa Ed ameambiwa kabla Dirisha la usajili halijafunguliwa.
Mkuu tuna matatizo makubwa as a club, Structure nzima ipo ovyo, huo usajili si tatizo Sana Kushinda issue ya Majeruhi, Nasikia Dogo Greenwood na yeye ameumia, kila mchezaji akija tu Man United anakuwa injury prone, mpaka AWB Sasa nae amekuwa hivyo hivyo, dalot karudi mechi 1 tayari nae Majeruhi, martial tuliambiwa kaumia kidogo mwezi wa Pili unaisha, pogba, lindelof, lingard, Shaw etc kila unapogusa Ni Majeruhi tu, issue hii IPO toka Fergie aondoke man U 2013 na Mpaka Leo haijatatuliwa.
Nyepesi nyepesi nyengine Ni kwamba Ed anamtoa kwa mkopo Matt judge akapate uzoefu zaidi, timu Kama Man U ndio kichwa chetu hicho tunakitegemea kusajili watu.
Kiungo kiko vizuri kwa hiyo? Maana hajaongelea au ndo mchezaji hatari Lingz Anatosha hahahAMECHOKA
KUMBE hata Ole Gunnar Solskjaer anachoshwa na kikosi chake cha Manchester United. Kocha huyo raia wa Norway amekiri kuangushwa na safu yake ya ushambuliaji ambayo inaongozwa na Marcus Rashford.
Solskjaer alidai kuwa wakati mwingine eneo la ushambuliaji limekuwa likishindwa kutimiza majukumu yake ya kufunga mabao licha ya nafasi nyingi kutengenezwa.
Hata hivyo, alisema kuna uwezekano mkubwa timu hiyo ikashusha straika mwingine mpya ili kuwaongezea nguvu akina Rashford, Anthony Martial na kinda Mason Greenwood.
Mapema msimu huu, mabingwa hao wa zamani wa England walimuuza straika wao Romelu Lukaku kwenda Inter Milan kwa kitita cha pauni milioni 73, pia, walimtoa kwa mkopo Alexis Sanchez kwa wababe hao wa Italia.
Solskjaer hakusajili mchezaji yeyote katika safu ya ushambuliaji zaidi ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ulinzi na kiungo kwa kunasa saini za Harry Maguire, Aaron Wan-Bissaka na Daniel James.
Tetesi za usajili barani Ulaya zinaihusisha timu hiyo na kutaka kusajili straika mmoja kati ya Mario Mandzukic wa Juventus na Callum Wilson wa Bournemouth.
“Ni kweli, tuliwaruhusu Sanchez na Lukaku kuondoka, wala hauhitaji mtaalamu wa sayansi kujua kama tutafanya usajili katika eneo la ushambuliaji, tutajaribu kufanya hivyo.
“Ulikuwa muda wa Lukaku kuondoka hapa, hata yeye alijua hilo, jambo muhimu ni kuziba nafasi hiyo kwa kusajili mchezaji sahihi ambaye atakuwa hapa kwa muda mrefu.
“Sokoni kuna wachezaji wengi, tunahitaji straika mwenye uwezo, atakayeendana na falsafa za Manchester United, lazima tuzingatie hilo,” alisema.
Kocha huyo aliendelea kuitoa kasoro safu yake ya ushambuliaji kwa kusema wanachangia kwa kiasi kikubwa kuirudisha klabu hiyo nyuma kwa kushindwa kutimiza majukumu yao ya kufunga.
“Unaweza kujionea mwenyewe, eneo pekee ambalo lina shida ni ushambuliaji, safu ya ulinzi tupo vizuri, sisi ni moja ya timu tulizofungwa mabao machache England.
“Hakuna utulivu kwenye ushambuliaji, hakuna anayeweza kufanya maamuzi sahihi, tunahitaji muda kulifanyia kazi hilo, najua tutakaa sawa baadaye,” alidokeza Solskjaer.
Katika michezo saba ya Ligi Kuu England, safu ya ushambuliaji ya Manchester United wamefanikiwa kufunga mabao nane.
Kiungo kiko vizuri kwa hiyo? Maana hajaongelea au ndo mchezaji hatari Lingz Anatosha hahah
Nimemshangaa sana,Rashford ndio sio mfungaji na wala sio 9 wakumtegemea ila timu haitengenezi nafasi kabisa, namba 10 hamna. Nilisema humu sio kwamba tunasema Lukaku na Sanchez hawakutakiwa kuuzwa, unawauza umemleta nani? Unaona hapo Martial majeruhi,Rashford kichwa panzi na Greenwood ndio huyu majeruhi. Analialia nini sasa?😂 Unabaki na Rashford kama #9 wako na Lingard kama kiungo machachari mpika magoli unategemea nini kama sio kushuka daraja? |
Weka source mkuu otherwise huu ni umbea kama umbea mwingine.AMECHOKA
KUMBE hata Ole Gunnar Solskjaer anachoshwa na kikosi chake cha Manchester United. Kocha huyo raia wa Norway amekiri kuangushwa na safu yake ya ushambuliaji ambayo inaongozwa na Marcus Rashford.
Solskjaer alidai kuwa wakati mwingine eneo la ushambuliaji limekuwa likishindwa kutimiza majukumu yake ya kufunga mabao licha ya nafasi nyingi kutengenezwa.
Hata hivyo, alisema kuna uwezekano mkubwa timu hiyo ikashusha straika mwingine mpya ili kuwaongezea nguvu akina Rashford, Anthony Martial na kinda Mason Greenwood.
Mapema msimu huu, mabingwa hao wa zamani wa England walimuuza straika wao Romelu Lukaku kwenda Inter Milan kwa kitita cha pauni milioni 73, pia, walimtoa kwa mkopo Alexis Sanchez kwa wababe hao wa Italia.
Solskjaer hakusajili mchezaji yeyote katika safu ya ushambuliaji zaidi ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ulinzi na kiungo kwa kunasa saini za Harry Maguire, Aaron Wan-Bissaka na Daniel James.
Tetesi za usajili barani Ulaya zinaihusisha timu hiyo na kutaka kusajili straika mmoja kati ya Mario Mandzukic wa Juventus na Callum Wilson wa Bournemouth.
“Ni kweli, tuliwaruhusu Sanchez na Lukaku kuondoka, wala hauhitaji mtaalamu wa sayansi kujua kama tutafanya usajili katika eneo la ushambuliaji, tutajaribu kufanya hivyo.
“Ulikuwa muda wa Lukaku kuondoka hapa, hata yeye alijua hilo, jambo muhimu ni kuziba nafasi hiyo kwa kusajili mchezaji sahihi ambaye atakuwa hapa kwa muda mrefu.
“Sokoni kuna wachezaji wengi, tunahitaji straika mwenye uwezo, atakayeendana na falsafa za Manchester United, lazima tuzingatie hilo,” alisema.
Kocha huyo aliendelea kuitoa kasoro safu yake ya ushambuliaji kwa kusema wanachangia kwa kiasi kikubwa kuirudisha klabu hiyo nyuma kwa kushindwa kutimiza majukumu yao ya kufunga.
“Unaweza kujionea mwenyewe, eneo pekee ambalo lina shida ni ushambuliaji, safu ya ulinzi tupo vizuri, sisi ni moja ya timu tulizofungwa mabao machache England.
“Hakuna utulivu kwenye ushambuliaji, hakuna anayeweza kufanya maamuzi sahihi, tunahitaji muda kulifanyia kazi hilo, najua tutakaa sawa baadaye,” alidokeza Solskjaer.
Katika michezo saba ya Ligi Kuu England, safu ya ushambuliaji ya Manchester United wamefanikiwa kufunga mabao nane.
Hao ma-striker atawapata wapi hiyo January ?KWA TAARIFA YENU:- OLE hatimuliwi makubaliano ni kwamba dirisha dogo january anasajili mastriker 2 na winga 1 na ahakikishe timu inamaliza top 4.
Kwan league imeishaaa..? Ole apewe muda wa kusuka TEAMOk ndani ya iyo misimu ya klopp na pochetino timu zao ziliwahi kushika nafasi ya 12 kwenye ligi????
Point yangu umeielewaaa..? Spurs kocha wake seven years yupo na team ikafika final UCL. Apewe muda oleSpurs na United ni vitu viwili tofauti kabisa..ndani ya hiyo miaka saba ya spurs hata ukiangalia spending zao ni tofauti kabisa na United na hata expectation za mashabiki wa spurs na United ni tofauti kabisa..Spurs wanafanya vibaya sana na wao recently,je umeona kuna pressure kubwa kama iliyopo United??
Chief kuna kitu kimoja unakosea... klopp imemchukua misimu mitano kujenga Liverpool ndo maana unaona mafanikio yao leo.. so ole aachwe apewe muda ajenge TEAM afumuee kila kitu then tuone matunda... hata kocha wa spurs kuingia final UCL sio jambo dogo.. took them 7 years.uongozi wa manchester united kwa kushirikiana na mashabiki wengi wetu kwa kiasi kikubwa tunamhukumu mwalimu kwa kuangalia zaidi matokeo aliyoyapata.
namaanisha ili kocha apewe muda wa kutosha ni lazima awe na tiketi mkononi ya kuipeleka manchester united kwenye michuano ya ligi mabingwa haijalishi kwa kupitia mlango wa nyuma (nakusudia europe league kama alivyofanya jose mourinho).
liverpool ya miaka mitano iliopita haikuwa ajabu kiupande wao kukosa kushiriki ligi ya mabingwa kimapato na pia ndani ya uwanja ndio maana jurgen klopp alipewa muda na hivyo hivyo kwa upande wa tottenham hotspurs japokuwa na wao wameshaufahamu utamu wa ligi ya mabingwa ndio maana andre villas boas alipofanya vibaya kibarua chake kiliota nyasi.
manchester united pamoja na kampuni ya adidas walisaini mkataba wa vifaa vya michezo wenye thamani ya paundi millioni 750 kwa kipindi cha miaka 10 (wastani wa paundi millioni 75 kwa mwaka), inasemekana kwenye mkataba huo kuna kipengele wameekeana cha kupunguza asilimia 30% (kutoka kulipwa millioni 75 hadi millioni 53 kwa mwaka) ya malipo endapo klabu itashindwa kushiriki ligi ya mabingwa kwa miaka mfululizo kama nitakuwa sipo sahihi wadau wengineo watakuja kunisahihisha.
usisahau pia klabu inawakata asilimia 25% ya mishahara wachezaji pindi klabu inaposhindwa kushiriki michuano ya uefa kila mwaka, hii inaonyesha dhahiri klabu haipo tayari kupoteza mapato yake kwa hoja dhaifu ya kujenga timu.
wewe jenga timu yako uwanjani lakini hakikisha unatupa tiketi ya uefa kila mwaka na hiki ndicho wanachokiwaza mabeberu waliovamia mchezo wa soka.unajua kama liverpool wanaelekea kwenda kusaini mkataba wa kufuru na kampuni fulani kubwa duniani?
tujaalie leo hii timu ya liverpool ifundishwe na steven gerrard ambaye tayari wajinga wa kiingereza wanampigia upatu arithi mikoba ya fundi jurgen kloop halafu washindwe kushiriki uefa mfululizo unadhani wale wamarekani wataendelea kumpa muda wa kutosha wa kuendelea kujenga timu?
beberu hana rafiki kwenye fedha
Chief ole hana mwakaapewe muda kama anahesabu yeye alikuwa hajui kama kwenye kuingo atabaki na scot,fred,matic na pogba,hakujua mastriker atabaki na rashford,martial na greenwood ? na amembakiza young kwenye timu wakazi gani ? hajui anachofanya...
Kwa sasa hakuna timu hapo bali " a group of players".Hivi hii timu bado ipo?
AMECHOKA
KUMBE hata Ole Gunnar Solskjaer anachoshwa na kikosi chake cha Manchester United. Kocha huyo raia wa Norway amekiri kuangushwa na safu yake ya ushambuliaji ambayo inaongozwa na Marcus Rashford.
Solskjaer alidai kuwa wakati mwingine eneo la ushambuliaji limekuwa likishindwa kutimiza majukumu yake ya kufunga mabao licha ya nafasi nyingi kutengenezwa.
Hata hivyo, alisema kuna uwezekano mkubwa timu hiyo ikashusha straika mwingine mpya ili kuwaongezea nguvu akina Rashford, Anthony Martial na kinda Mason Greenwood.
Mapema msimu huu, mabingwa hao wa zamani wa England walimuuza straika wao Romelu Lukaku kwenda Inter Milan kwa kitita cha pauni milioni 73, pia, walimtoa kwa mkopo Alexis Sanchez kwa wababe hao wa Italia.
Solskjaer hakusajili mchezaji yeyote katika safu ya ushambuliaji zaidi ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ulinzi na kiungo kwa kunasa saini za Harry Maguire, Aaron Wan-Bissaka na Daniel James.
Tetesi za usajili barani Ulaya zinaihusisha timu hiyo na kutaka kusajili straika mmoja kati ya Mario Mandzukic wa Juventus na Callum Wilson wa Bournemouth.
“Ni kweli, tuliwaruhusu Sanchez na Lukaku kuondoka, wala hauhitaji mtaalamu wa sayansi kujua kama tutafanya usajili katika eneo la ushambuliaji, tutajaribu kufanya hivyo.
“Ulikuwa muda wa Lukaku kuondoka hapa, hata yeye alijua hilo, jambo muhimu ni kuziba nafasi hiyo kwa kusajili mchezaji sahihi ambaye atakuwa hapa kwa muda mrefu.
“Sokoni kuna wachezaji wengi, tunahitaji straika mwenye uwezo, atakayeendana na falsafa za Manchester United, lazima tuzingatie hilo,” alisema.
Kocha huyo aliendelea kuitoa kasoro safu yake ya ushambuliaji kwa kusema wanachangia kwa kiasi kikubwa kuirudisha klabu hiyo nyuma kwa kushindwa kutimiza majukumu yao ya kufunga.
“Unaweza kujionea mwenyewe, eneo pekee ambalo lina shida ni ushambuliaji, safu ya ulinzi tupo vizuri, sisi ni moja ya timu tulizofungwa mabao machache England.
“Hakuna utulivu kwenye ushambuliaji, hakuna anayeweza kufanya maamuzi sahihi, tunahitaji muda kulifanyia kazi hilo, najua tutakaa sawa baadaye,” alidokeza Solskjaer.
Katika michezo saba ya Ligi Kuu England, safu ya ushambuliaji ya Manchester United wamefanikiwa kufunga mabao nane.
mkuu umekifahamu hicho nilichoandika?Chief kuna kitu kimoja unakosea... klopp imemchukua misimu mitano kujenga Liverpool ndo maana unaona mafanikio yao leo.. so ole aachwe apewe muda ajenge TEAM afumuee kila kitu then tuone matunda... hata kocha wa spurs kuingia final UCL sio jambo dogo.. took them 7 years.
Klopp ana reference huko nyuma,alishaijenga Dortmund huko nyuma akachukua back to back Bundesliga mbele ya Bayern na akaifikisha Dortmund fainali ya Champions league.As a manager OGS amefanya nini so farChief kuna kitu kimoja unakosea... klopp imemchukua misimu mitano kujenga Liverpool ndo maana unaona mafanikio yao leo.. so ole aachwe apewe muda ajenge TEAM afumuee kila kitu then tuone matunda... hata kocha wa spurs kuingia final UCL sio jambo dogo.. took them 7 years.
Yes hana mwaka lakini tangu apewe timu kwenye EPL ameshafundisha mechi 39 ambazo ni sawa na msimu mmojaChief ole hana mwaka
Dybala alikubali man u kilichokwamisha Ni agent fee aka imaging rights,