Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na pale mbele kane anahitajika mno maana tott hawana future yoyote kwa sasa na mbeleni....wapo wapo tu
 
Lingard anabembelezwa asaini mkataba mpya huko
 
Ole akili yake ni kama vile imeganda kabisa na kwasasa hajui ni nini atafanya,michezo yote ametumia mfumo mmoja bila mafanikio na ataendelea kutumia hadi tutakaposhuka daraja.

De Gea analia timu imeshindwa hata kutengeneza nafasi za kufunga(achilia mbali kufunga) na hii ni kweli. Hii ni kwasababu hakuna #10. Kwa wakati huu mchezaji wa kumtumia pale kidogo japo nae ana maujinga ni Pogba, shida ni Ole kichwa panzi ataendelea kumtumia Pogba kule chini pamoja na Scott.

Nakumbuka wakati anapewa timu alimtumia Matic na Herrera kama wakabaji Pogba akawa anashambulia sana, sijui ameingiwa na nini tangu apewe kazi, amesahau kila kitu.

Pendekezo langu kwa sasa; kwakuwa Fred na Matic wote wamekuwa watepetevu ni vizuri Tuanzebe(naamini anaweza sana nimemtazama mechi alizopangwa hasa ya jana anagawa mipira vizuri na anajiamini) akashirikiana na Scott pale kati halafu Pogba apande juu.

Kama Martial atakuwa amepona basi acheze #9 na Rashford atokee pembeni.😂
 
"These are the same players that threw Mourinho under the bus and they will do exactly the same to Ole.”
-
“Leopards don't change their spots." - Roy Keane back in April 2019
 
Acheze 4 3 3
Halafu amtumie Dalot kwenye right wing ili tupate hata cross kidogo badala, kama Pogba hayupo uwanjani amchezeshe Pereira #10 he has something in his legs.
Kikosi anacho sema hana mbinu za kumpa ushindi.
 
Sasa Arsenal mnatofauti gani na sisi? Mnachotuzidi ni kwamba nyie wachezaji wenu wamechangamka zaidi!
Wanachangamka ili wapate club za kwenda!
Hiyo sentensi ya mwisho aiseeeeh imenichekesha kweli,

Hivi pepe alitakiwa na club ngapi? Na akaamua kuja kwa wafalme wa London?

Tierney alitakiwa na club ngapi?

Achaga utani mkuu lile chama kubwa
 
Waliopata kushuhudia OGS akicheza soka naombeni mlinganishe uchezaji wake enzi hizo ilikuwa unafanana na mchezaji gani pale Manchester kwa sasa.
Jesse Lingard mtaalamu wa kuperfome akiwa hana mpira na ndio maana anaanzia bench siku hizi kama kocha wake zamani,maana wakiwa hawana mpira ni hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…