Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mmmh Mambo sio mabaya nyota ya liverpool ya kipindi kile ...tume ipokea kwa mikono miwili ..iyo ndo nafasi yetu kuanzia leo. tukienda sana nafasi ya 8
 
kabisa yani! sema ana damu ya kunguni!
Kuna mtu humu alinitukana sana kuhusu mourinho nahisi dawa inamuingia kisawasawa jibu kapata

Toka astaafu sir alex mourinho alikuwa kocha sahihi wa manchester united
 
Na bado gemu ijayo Liverpool anawakanyaga tena,mtanyooka tu.
 
LAANA alex aliwaletea kocha ambaye aliona ni mbadala nyie mkafukuza πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…