Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mmmh Mambo sio mabaya nyota ya liverpool ya kipindi kile ...tume ipokea kwa mikono miwili ..iyo ndo nafasi yetu kuanzia leo. tukienda sana nafasi ya 8[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kabisa yani! sema ana damu ya kunguni!
Kuna mtu humu alinitukana sana kuhusu mourinho nahisi dawa inamuingia kisawasawa jibu kapata

Toka astaafu sir alex mourinho alikuwa kocha sahihi wa manchester united
 
Na bado gemu ijayo Liverpool anawakanyaga tena,mtanyooka tu.
 
leo timu kubwa ambayo haijafungwa ni Yanga.

City kipigo
United kipigo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
What garbage u talking about? City ni kubwa kuliko Chelsea na arsenal?
Au hizo hujaziona.
 
LAANA alex aliwaletea kocha ambaye aliona ni mbadala nyie mkafukuza πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Manchester United ni YANGA iliyo changamka... Vipigo ndio Kwanzaa vimeanza [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…