Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Basi matokeo mazuri kwetu ni goalless draw maana tatizo letu ni kufunga magoli.

After all Man united siyo threat tena kwa timu yoyote so tutegemee New Castle kujaribu bahati yao pia hawawezi kuwa wanyonge kwa man united.

Kibaya zaidi New castle ni timu ambayo huwa wanabattle sana wanapocheza na Man united
 
Tunafungwaaaaaa na liva anakuja pigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza.....
 
Narudia kuwakumbusha tu,nyie hivi sasa hamna mechi rahisi tena kila mechi kwenu nyie ni ngumu.
 
Siti zao zimekuwa reserved kwa kampuni fulani, wamehamia Siti nyengine.



Hao ni Madons wakubwa sana pale kweny e Jiji la Manchester, Wanapokuwa nyuma ya Bench la Ferguson alikuwa hawezi kuleta ujinga kama anaoufanya Ole.

Sasahivi nadhani wameachana na kuifatilia Timu coz hawajazoea shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…