Wachezaji wetu wamelegea sana,hadi kiakili wamelegea. Mtu mpira unapigwa unampita unatoka nje mahali ambapo angeweza hata kuteleza auguse. Mchezaji anasubiri mpaka mpira umfuate alipo😂😂😂 Tatizo ni kocha hapa lakini hata wachezaji pia ni wazito kimwili hadi kiakili ndio maana hata timu haiwezi kucheza kwa kasi.
Kiungo chetu ni kizito sana na hamna hata kiungo mmoja anayefikiria haraka.
Si angechezeshwa beki wa kushoto au kiungo wa chini kama kukaba ndio sifa yake kuu. Hivi timu isiyokuwa na wachezaji wabunifu unamuwekaje namba 10 mwenye sifa kuu ya kukaba badala ya kufanya kazi yake ya msingi?