na game ya jana sikuielewa hiyo var niliona wachezaj wa arsenal wamenawa mpira mara mbili kwenye box na var hawakufwatilia chochote akat najua kuwa epl hakuna sheria ya mpila kufwata mkono ikionekana mtu kashika ni penalt tu spain ndo wanahiyo sheria ya ball to hand
Kuhusu var ili ifanye kazi inabidi refa kwanza aombe msaada kwenye var, Kama refa ataona foul na Kisha akasema sio foul hata Kama var itasema Ni foul itahesabika Kama sio foul.VAR imewabeba madrid
Goli la ramos ni offside ya wazi kabisaaa
Naanza kuamini yule perez anawanunua hawa marefa.....
VAR imewabeba madrid
Goli la ramos ni offside ya wazi kabisaaa
Naanza kuamini yule perez anawanunua hawa marefa.....
Umeumia Ole kutimuliwa?According to Fabrizio Romano Allegri anajifunza kingereza na yupo Tayari kuchukua Nafasi ya Ole Man UTD.
Massimiliano Allegri learning English as he targets Manchester United job
Massimiliano Allegri has been learning English as the former Juventus and Milan manager targets a new role in the Premier Leaguewww.theguardian.com
Sitashangaa hata Ed akiwa ameshamwaga mpunga.
Timu yetu hii majanga.
Naumia sababu timu yetu haijielewi Kama kuku aliekatwa kichwa, hatuna identity Bora liende tu.Umeumia Ole kutimuliwa?
Hatari hii mzeeNdugu zanguni ndio tumefikia huku jamaniView attachment 1221386
Hatari hii mzee
Naumia sababu timu yetu haijielewi Kama kuku aliekatwa kichwa, hatuna identity Bora liende tu.
Mkuu Mimi nilimtetea lvg humu asitimuliwe, nikamtetea na Mou asitimuliwe na nitamtetea na Ole vile vile, Tatizo la man U halijawahi kuwa Kocha.
Hata AlleGri akija baada ya Muda watu wataanza vile vile kumtupia maneno kwamba hawamtaki.
View attachment 1221601View attachment 1221603THIS IS CALLED TRANSFERMOPHOBIA
Ndugu zetu wameuziwa pepevinhoDuuuh gervinho
Wanapiga kelele baadhi Kama Garry Neville, Ila wengi wameufyata sababu Ni potential waajiriwa wa baadae wa Man U. Hela inaongea.Ina maana wale pundits hawaoni kama tatizo ni uongozi??? Wakapiga hayo makelele yao
Ukitaka kujua tofauti ya kocha na mtia chachu utaiona kwa huyu Pochettino.
Tangu Eriksen aseme wazi anataka kuondoka amekuwa akimpiga bench na anampa nafasi kidogo na January atamuachia. Ila Ole anakomaa na Pogba tu.
Mchezaji akishaanza kusema anataka kuondoka anakosa ari ya kupambania timu.
View attachment 1221601View attachment 1221603THIS IS CALLED TRANSFERMOPHOBIA
Mkuu siku hizi umekuwa na hasira sana.Utakuwa umezaliwa Baada ya mama ako kubakwa kwenye mtungo
Huyo kipa Madrid walilamba grasa kabisa afadhali sana Hazard
Hugo Lori's
David De Gea
Thibaut Courtious
Kyle Navas
wameporomoka sana viwango vyao misimu miwili mfululizo wako kwenye downfall.
Wakati huo huo Jan Oblack, Te Stergen,Neure na Allison Becker wako vizuri sana misimu miwili mfululizo.
Ole ameuza wachezaji wazuri sana ambao wangetumiwa na Allegri.Naumia sababu timu yetu haijielewi Kama kuku aliekatwa kichwa, hatuna identity Bora liende tu.
Mkuu Mimi nilimtetea lvg humu asitimuliwe, nikamtetea na Mou asitimuliwe na nitamtetea na Ole vile vile, Tatizo la man U halijawahi kuwa Kocha.
Hata AlleGri akija baada ya Muda watu wataanza vile vile kumtupia maneno kwamba hawamtaki.
Simkubali sana Allegri kwangu mimi my choice would beAccording to Fabrizio Romano Allegri anajifunza kingereza na yupo Tayari kuchukua Nafasi ya Ole Man UTD.
Massimiliano Allegri learning English as he targets Manchester United job
Massimiliano Allegri has been learning English as the former Juventus and Milan manager targets a new role in the Premier Leaguewww.theguardian.com
Sitashangaa hata Ed akiwa ameshamwaga mpunga.
Timu yetu hii majanga.