Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,319
- 201,540
Kiukweli Pepe ni moja kati ya wachezaji niliokuwa nawa admire na nilitamani waje United (kutokana na YouTube clips)
Lakini nilivyomuangalia kwenye games (sio YouTube clips) za Afcon nilianza kuwa na wasiwasi naye. Ghafla nikaona anapigwa benchi, hapo ndio nika kum doupt kabisaaa
Tunafungwa na mengi mno yaaniLingard wenu huyo.View attachment 1220311
Lakin uliipa man u asilimia 60 za kushinda
Mimi nilikwambia ni 50/50 nikizingatia poor selection ,na poor tactic za Unai
Jamaa alikuwa vizuri game ya Liverpool Tu lakini tangia hapo kawa galasa dogo James kamuacha mbali sana
Yaani sana
Hadi soksi alivuliwa pia!Young Jana kalala na viatuView attachment 1220283
Kacheza arsenal alitolewa kwa mkopo West blomwch albion na Werder Bremen kisha arsenal wakamuuza werder bremen moja kwa moja nao werder bremen wakamuuza buyern munichHapana hajawahi
Hiv kweli tukiiacha VAR iliyohalalisha goli, hii inakuaje offside katika mazingira ya kawaida?Kuna Mstari kwenye Biblia unasema
Nao Maadui zako watakapokuona watakukimbia
Ndicho alichofanya Maguire jana kumkimbia Aubameyang
View attachment 1220299
AiseeeKacheza arsenal alitolewa kwa mkopo West blomwch albion na Werder Bremen kisha arsenal wakamuuza werder bremen moja kwa moja nao werder bremen wakamuuza buyern munich
Acha kubwabwaja kama kuku wa kafara wewe, ina maana wewe kabla ya mechi ulisema kuwa utafungwa?????Ishu ya kocha ilianza kuingelewa tangu lini? Tulipowagonga 8?
Wewe ndio acha porojo, nyie si ndio kabla ya mechi mlituaminisha hii mechi lazima mshinde? Wanaoongea nani kati ya sisi na nyie, WTF.... Yaani kwenye Uzi wetu tusiongee, muongee nyie tu kwenye Uzi wetu
Ooh, kocha... Kocha, naona hicho ndio kimekuwa kichaka chenu cha kujifichia siku hizi, as if kabla ya Unai mlikuwa mnafanya vizuri
Kipepe hamna kitu, mchezaji ghali wa muda wote Arsenal, ametulizwa na academy graduate Axel ambaye amecheza namba ambayo hajawahi kucheza
Sasa nyie mtabebwa mpaka lini??yaani linesman yupo palepale bila aibu anatoa maamuzi ya kipumbavu,mbeleko ilikuwa zamani na ndio maana siku hizi kina westham wanajipigia tuWenzio timu mbovu tunazijua huwa tunakuwa kimya bado nashangaa kipi mashabik wa arsenal mnaamini timu yenu inaweza kishinda ina maana bila computer kuwapa goli mlishakufa
Huko juu kuna mshabiki wa arsenal nilimuuliza jana jioni kipi kinachomuaminisha wanashinda kashindwa kutoa majibu labda alivyosikua injury na sosha anavyopondwa wao wanajua yanahamia na uwanjani binafsi nilijua kabisa hii ngoma ni sare kwa sababu ya ubutu wa washambuliaji wa timu zote tu
Hii pumba hamna mech marefa wasiofanya makosa mech alizochomoka spurs mbele ya city bila huo mtambo angekuwa wapi?
Kuna kipindi barcelona iliitwa uefalona maana kila aliecheza nae kichapo kilimhusu visingizio vikaanza marefa wanapangwa na uefa kuibeba barcelona mwisho wa siku watu wakaanza bila xav mess na iniesta hamna timu mwanadamu huwa anatafuta jambo la kujifariji kama wewe hapo
Unataka kusema manchester united makombe yote zaidi ya 60 tulikuwa tunapewa hatukuwahi kuwa na timu bora? Tumetoaje wachezaj bora wa duniani kama marefa wanasaidia? Kuwa mtu wa soka
Kwa sasa hii timu ni mbovu ila sio kwa hiyo point yako dhaifu na kichaka cha kujifariji
Sasa nyie mtabebwa mpaka lini??yaani linesman yupo palepale bila aibu anatoa maamuzi ya kipumbavu,mbeleko ilikuwa zamani na ndio maana siku hizi kina westham wanajipigia tu
Beki baunsa wao ameshika, na hakuna penati
Pathetic VAR
Hapa anaongelewa Pepe sio Fred. nimeongelea Pepe na sio mechi saba ni zaidi toka yuko Lille na kiwango chake cha kawaida na hamfikii Zaha kwa mbali, maoni yangu
Kama young alivyopelekeshwa na katoto kadogo BUKAYO SAKA mpaka anakumbatiakumbatia bila ya aibu,
Kama MAGWAYA anayemwogopa king P.E.A baada ya kumkaba anamkimbia
Yes naota. msimu mzuri pekee aliokuwa nao ni mwaka jana goal 22 Lille na tisa ni kwa penalty. kabla ya hapo alikuwa na misumu ya kawaida sasa usiniambie mchezaji aliyefunga league 1 goal 22 (9 penalty) msimu mmoja ndio kawa star. sasa ya nini kumishana sio yuko Arsenal aoneshe. Afcon to Egypt ndio utajuwa level yake. Team yake ya Taifa mechi 3 hana goal wala assist. Yule mtoto Saka jana utasema yeye ndio 72 Million kumbe wa bure tu.Unaota wewe,,lete takwimu zao za msimu uliopita hapa,usiongee usivyovijua
Chief Mkwawa na Linagrd wake wa jicho la 3.