Leo naweka shilingi yangu kwa Man u. Man u ni wabovu safu ya ushambuliaji ila nyuma wapo vizuri.
Arsenal wazuri safu ya ushambuliaji ila kiungo na safu ya ulinzi ni mbovu.
Counter attack za man u zitawapa ushindi hii match, nategemea pia Luiz atatoa boko la mwaka.
Man u sio wazuri sana msimu huu ila kwa match na arsenal wananyakua point 3.