kwani huyu lingard hawezi kuchezeshwa namba 6?
watetezi wake wanasema jamaa ana muhimu sana pindi asipokuwa na mpira, kama ni hivyo achezeshwe namba sita ya uongo halafu isitoshe jamaa ana skills and pace ukimlinganisha na scott mctominay au perreira.
View attachment 1217480
Tupo pamoja kabisa wadau...!!
Aiseee dogo ile game upande wake hakukua sana na mashambulizi ila kanajua mno kupandisha mashambulizi na krosi anatupia tu vizuri
Huna adabu. Yaani sisi hata tukimpanga nabii Tito analitungua shati lenu lile.Tuna uhakika tutapata kutoka arsenal.
Kila la kheri Chelsea
Hahaha na sisi arsenal hatumwagi ili mbaki na Ole hadi kifo kiwatenganishe.Mi nasemaje aseno wamwage mboga liva waje kumwaga ugali na city waje kutia kiberiti kabisaaaaa ule uwanja....
Ole out......
Wenga anasema wanahitajika wachezaji wanne tu ili united iweze compete na timu nyingine
Ivi nyie dunia ya leo kwenye kikosi cha wachezaji 11 mnaona wachezaji wanne ni wachache sana.....
Enzi zile nakumbuka babu alisajili mchezaji mmoja tu carrick na tukabeba trebble ya epl na hii ndio inatakiwa kuzungumzwa leo....
Inshort safar bado ni ndefu na hii timu bado sana
Wakuu mbona tunalalamika sana.
Tuna timu nzuri aiseee, martial tutamkosa dhidi ya arsenal ...lingard yupo
Kati tuko vizuri, back line ndio usisemeee + ingizo jipya LA Axel tuanzebe...aisee OGS your the best ni swala la muda tu huyu jamaa ataonesha ubora wakes.
We are united
Bila kuwa wavumilivu kila siku mtapata maumivu na kuandika kila aina ya maneno yenye karaha na kuishia kumtaka kila aina ya mchezaji aliyepo timu nyingine mnayemuona anafaa
Lakini mnachosahau ni kwamba bado kila kitu kinaweza kikafanywa kama mnavyotaka na kusiwe na timu ambayo mnaifikiria vichwani mwenu
Kama ni kocha OGS anaweza akatolewa na bado kocha atakayefwata akapata shida vile vile kama ilivyokuwa kwa waliomtangulia
Kama ni wachezaji bado wanaweza wakanunuliwa hao wakina Bruno, Sancho, Rice, na wengineo ambao mnawadhania lakini wakaja na wakawa wa kawaida tena kama ilivyotokea kwa baadhi ya wachezaji
Huyu Rashford leo mnayemdharau ndo yule ambaye alijitambulisha kwetu kupitia Europa na kuona tumepata lulu kutoka kwenye academy the same na mnavyoanza kufanya sasa kwa Greenwood
Lakini wengine mnasahu kwamba hiki kipindi cha mpito kipo tu na kuna msimu utafika kitaisha na wala sio leo wala kesho
GGMU
martial atabadilika na atakuwa hodari kama robert piresWakuu mbona tunalalamika sana.
Tuna timu nzuri aiseee, martial tutamkosa dhidi ya arsenal ...lingard yupo
Kati tuko vizuri, back line ndio usisemeee + ingizo jipya LA Axel tuanzebe...aisee OGS your the best ni swala la muda tu huyu jamaa ataonesha ubora wakes.
We are united
Wakuu mbona tunalalamika sana.
Tuna timu nzuri aiseee, martial tutamkosa dhidi ya arsenal ...lingard yupo
Kati tuko vizuri, back line ndio usisemeee + ingizo jipya LA Axel tuanzebe...aisee OGS your the best ni swala la muda tu huyu jamaa ataonesha ubora wakes.
We are united
kipindi cha mpito?Lakini wengine mnasahu kwamba hiki kipindi cha mpito kipo tu na kuna msimu utafika kitaisha na wala sio leo wala kesho
Bila kuwa wavumilivu kila siku mtapata maumivu na kuandika kila aina ya maneno yenye karaha na kuishia kumtaka kila aina ya mchezaji aliyepo timu nyingine mnayemuona anafaa
Lakini mnachosahau ni kwamba bado kila kitu kinaweza kikafanywa kama mnavyotaka na kusiwe na timu ambayo mnaifikiria vichwani mwenu
Kama ni kocha OGS anaweza akatolewa na bado kocha atakayefwata akapata shida vile vile kama ilivyokuwa kwa waliomtangulia
Kama ni wachezaji bado wanaweza wakanunuliwa hao wakina Bruno, Sancho, Rice, na wengineo ambao mnawadhania lakini wakaja na wakawa wa kawaida tena kama ilivyotokea kwa baadhi ya wachezaji
Huyu Rashford leo mnayemdharau ndo yule ambaye alijitambulisha kwetu kupitia Europa na kuona tumepata lulu kutoka kwenye academy the same na mnavyoanza kufanya sasa kwa Greenwood
Lakini wengine mnasahu kwamba hiki kipindi cha mpito kipo tu na kuna msimu utafika kitaisha na wala sio leo wala kesho
GGMU
Makocha wote wa academy wanasema Rashy hajawahi kuwa striker, Jamaa ni winger ila OGS anamuamini Rashy kama striker
martial atabadilika na atakuwa hodari kama robert pires
rashford atabadilika na atakuwa hodari kama andy cole
lingard atabadilika na atakuwa hodari kama sylvain wiltord.
huu ni mwaka wa nne naendelea kuzisikia tabiri hizi za ovyo
Hahahaha nimemsahau jina yule jamaa aliesema asipokua na mpira ana hatari balaa kuliko akiwa na mpira......anatuletea ushabiki wa kibongo humu
teh teh kama vipi bora asajiliwe usain bolt.Aisee nyinyi Watu munazidi kunivunja Mbavu
Yani Mimi humu sicomment mpaka nione post inayohusu "Mchezaji kiwa Hatari Akiwa Hana Mpira Kuliko Akiwa Na Mpira" Hii inamanisha Wenzake wasimpe Pasi ndani ya dakika 90 ili azidi kuwa Mkali.
We ndo umeandika hapa au kuna mtu kakuandikia hivi klopp asingebeba kombe lolote mngeendelea kumfurahia? Kuna msabiki asiebadilika? Nipe jibu kwa nini makocha hufukuzwa baada ya kupokewa vizur au mchezaj kuzomewaradika wewe tumeshakuzoea ni mshabiki wa kubadilika ovyo ovyo.
Ed Woodward kashatamka rasmi kuwa hiyo role ya DOF haitakuwepoDOF kwa hali yoyote anahitajika