Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Maajabu hayataisha jamaa anachokifanya ni kuhamisha goli hapo maana priority yetu sie ni makombe na sio faida
 
Ole anaonesha immaturity kwenye coaching na management, hajifunzi

Ed ni mzuri kwa kile Anachofanya (upande wa biashara),ndio maana Glazers hawawezi kumtimua

Kuwepo kwa football Director (tena asiwe legend wa United) italeta balance nzuri kati maslahi ya biashara na mafanikio kwenye soka
Maajabu hayataisha jamaa anachokifanya ni kuhamisha goli hapo maana priority yetu sie ni makombe na sio faida
 
Na habari nilizozipata hapa manchester ni kwamba wakimfukuza ole watakua wamefanya usaliti mkubwa kwaiyo hilo swala halitawezekana
 
Na ubovu tulionao huhuu na wachezaji wengine hawatakuwepo kama pogba,matial,rashford lakini chakushangaza arsenal tutawafunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…