Tunahitaji Epl sio vinginevyo,yeyote atakaye jaribu kujipendekeza mbele yetu ilimradi tu atuvurugie mipango yetu TUTALALA NAE MBELE,Hatucheki na kima tena.rafiki yangu bwana klopp anazidi kukufanya ung'are kila jukwaa unalolitembelea.
hivi mdogo wako Ollachuga Oc ameshatoka usingizini?
Hizi ni siasa tu. Hakuna jipya la maana.Naona Management inajikoshaView attachment 1214231View attachment 1214232
Point 45 maana yake timu itakuwa kwenye regelation zoneUnaona timu ya kuzidi point 45 hapo??
Huyu Ole naye mwehu sana,kama alikataa kusajili wachezaji wazuri kwa kigezo cha kutaka wapigania beji ya klabu,si angesajili mashabiki tu maana hakuna mtu mwenye mapenzi na klabu kama shabiki.Unaona timu ya kuzidi point 45 hapo??
Labda dogo Greenwood mumpe nafasi kwenye hiyo nambaHata martial hana sifa za kuwa striker niligundua mech zidi ya wolves ile tumetoa suluhu akikutana na bek ving’ang’anizi hatupati kitu
Kwangu mimi top striker
Aguero
Suarez
Dieogo costa
Robert Lewandowski
Hata karim benzema sema ronaldo uwepo wake ulimfanya huyu jamaa kutokujua majukum yake na kingine hukuwa mchoyo
Baada ya kueka kumbukumbu vizuri kama ulivyotaka ni kwamba sikumaanisha kuwa Mou aliitengeneza Real peke yake kama alivyotengeneza nyumba yake.
Nilichomaanisha ni kuwa Mourinho nayeye Ndiyo katika wahusika wakuu walioijenga Real madrid iliyompa mafaniko Zidane:
Miongoni Wachezaji waliosajiliwa na Mourinho at Real Madrid
1) ANGEL DI MARIA
2) MESUT OZIL
3) SAMI KHEDIRA
4) RAPHAEL VARANE
5) LUKA MODRIC
Hao ndiyo msingi wa Kutengenea kwa Timu ya Real kupitia Jose Mourinho
Ingawa wengine waliondoka lakini tayari Real ilikwisha tengenezeka
Unarudi sokoni kocha Ole??Point 45 maana yake timu itakuwa kwenye regelation zone
Man u January watarudi sokon tu, shida ipo je wataziba maeneo yenye uhitaji au ndio Yale Yale yakutibu kichwa badala ya goti,kumbuka man u unayoiona imeshatumia £700m+ , na summer kama sikosei kwa EPL wao ndio wameongoza kwa kuspend , Kwahiyo tatizo utagundua hata sio kocha ,tatizo ni Bodi nzima haina washauri wa kisoka.
Jana nimeona Evra anaomba kazi ya DOF man u kijanja .
Aston Villa ndo amespend kuliko timu zote EPL akifuatiwa na Manchester zote mbili.Point 45 maana yake timu itakuwa kwenye regelation zone
Man u January watarudi sokon tu, shida ipo je wataziba maeneo yenye uhitaji au ndio Yale Yale yakutibu kichwa badala ya goti,kumbuka man u unayoiona imeshatumia £700m+ , na summer kama sikosei kwa EPL wao ndio wameongoza kwa kuspend , Kwahiyo tatizo utagundua hata sio kocha ,tatizo ni Bodi nzima haina washauri wa kisoka.
Jana nimeona Evra anaomba kazi ya DOF man u kijanja .
Hapo ndo kuna tatizo kubwa sana.Huyu Ole naye mwehu sana,kama alikataa kusajili wachezaji wazuri kwa kigezo cha kutaka wapigania beji ya klabu,si angesajili mashabiki tu maana hakuna mtu mwenye mapenzi na klabu kama shabiki.
Yaani ligi tumeisubiri miezi kibao kwa hamu lakin ndani ya mechi 6 tu tunaona kama week ends zinawahi sana.
Bora hata huko Europa tusiwepo kabisa.Manchester United racing for top Six
Balaa muda mwingine top Six hata Europa huchezi
Ni Manchester united ndio kaspend zaidi,Aston Villa ndo amespend kuliko timu zote EPL akifuatiwa na Manchester zote mbili.