Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamaa wanakosoa movement za rashford hapa
Amini nawaambia toka moyoni aliyosema peter drury kwa huyu kamwe hayatabadilika....drury yupo sahihi kwa asilimia mia mbili.....
 
Hivi yale majeraha yanayowapata wachezaji na kuwaweka nje kwa msimu mzima kwanini hayapo kwa Rashford?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…