Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndugu yangu wagonga nyundo sio astana.......akipanga kikosi icho jiandae kwa kupata aibu kubwa
 
Bado aisee,sitomuhitaji pale OT..nahisi kuna kitu anamiss.

Spurs wamekuwa na kikosi kizuri kwelikweli lakini hawana kitu chochote so far..na hata UCL walipita robo na nusu fainali kibahati sana na sio ubora.

Spurs wangempata kocha kama mourinho wasingetoka mikono mitupu ukiangalia beki zao ni watu wa kazi harry kane tu ndio legelege anapenda sana kupiga penat
 
Wazee wa Rashford mpo??

Leo jirani kampiga mtu goli 8.

Nyie wenye rashford, goli moja tu matatizo.

Bado wanafundishana kufunga magoli Carrington.

Ole yupo comfortable kabisa.

Mkuu hao jamaa si walicheza na norwich ukifuatilia rekod pep anawafunga sana watfod hiz 6 wamekula sana tu aguero kakosa sana goli ina maana mfumo wa city ungekuwa wa shoo ya mtu mmoja bas ageuro angefunga goli moja tu
 
Kila siku kazi yake ni kumlinda Rashford, utasikia tunafanya kazi na anajituma sana,atakuwa bora.
Kuna takataka nyingine Lingard inatetewa.

Watakwambia umwangalie kwa jicho la tatu.

Unaacha kusajili talent, upo tu na huo uchafu.

Pogba ana haki ya kuleta maringo, na kiwango kile unazungukwa na kina Rashford au Lingard.
 
Mkuu hao jamaa si walicheza na norwich ukifuatilia rekod pep anawafunga sana watfod hiz 6 wamekula sana tu aguero kakosa sana goli ina maana mfumo wa city ungekuwa wa shoo ya mtu mmoja bas ageuro angefunga goli moja tu
Mechi ya 6 hiyo. Angalia Goal Difference.
 
Players spotted by MEN photographers travelling to West Ham: David de Gea, Sergio Romero, Lee Grant, Aaron-Wan-Bissaka, Ashley Young, Victor Lindelof, Marcos Rojo, Phil Jones, Axel Tuanzebe, Harry Maguire, Nemanja Matic, Fred, Andreas Pereira, Scott McTominay, Juan Mata, Angel Gomes, Marcus Rashford, Tahith Chong, Jesse Lingard, Daniel James.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…