Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Perreira alishindwa kufanya majukum yake vizur na mwenzie matic kiungo kwa sasa kiwe scott, pogba na fred timu ipo walahi scott akiendelea na kile kiwango cha mech ya leicester city matic ataenda juventus bure atafute shughuli ya kufanya
Fred akijiamini kama anavyojiamini Scott na akiacha ubishoo kama alivyo Scott, kiungo hakitakuwa na shida tena. Naamini Fred ana kitu cha ziada hasa nikitazama pasi zake.
 
Na hapo ndo utamu wa mpira ulipo..kuwa sana Negative na timu yako sio sawa..ni bora kukubali hali halisi na kuendelea nayo..na tukiimarika siku hadi siku furaha ndo huzidi zaidi
 
Fred akijiamini kama anavyojiamini Scott na akiacha ubishoo kama alivyo Scott, kiungo hakitakuwa na shida tena. Naamini Fred ana kitu cha ziada hasa nikitazama pasi zake.
Fred apewe namba..

Kuna game kibao tu kacheza vizuri..mfano gemu ya Barcelona away,PSG away game,Arsenal away..ni error chache zile alizokuwa anafanya ambazo naamini akiaminiwa zaidi zitapungua..

Anasambaza mipira kama ana rula..

Then kirusi Pogba tunamsogeza mbele no 10
 
Huo ndio ukweli

Wote tunatambua kwamba Rashy sio forward ambaye siku moja atakuja kupata golden boot, lakini hiyo haimaanishi kwamba hawezi kufikisha goli 15-20

Sasa Ollachuga yeye anaongea kishabiki tu
 
Mkuu umeongea hoja ya msingi sana

Watu pia wanali overlook hilo suala la chances zinazokuwa created United ni chache ukikinganisha na Chelsea

Lakini unataka kuniambia kwamba DJ hawezi ingia kikosi cha Chelsea?



 
Kirusi PP
 
Hapo kirusi akae atembee tu uwanjani kama kawaida yake,maana visingizio kibao. Mara tununue mtu wa kumfanya acheze free, hiyo free ni ya aina gani? Awe anakaa tu asubiri kupewa mipira au?
 
Mkuu umeongea hoja ya msingi sana

Watu pia wanali overlook hilo suala la chances zinazokuwa created United ni chache ukikinganisha na Chelsea

Lakini unataka kuniambia kwamba DJ hawezi ingia kikosi cha Chelsea?

Daniel james sijapenda tu kumuweka hapo ila anacheza vizur sana na ni mmoja kati ya wachezaj wazur wajao hasa kocha akiwa solskjaer kaonesha namna anavyoweza kuendeleza vipaji vya madogo wachanga sina wasiwasi nae hata kidogo
 
Hivi Matteo Darmian tumemtoa kwa mkopo au ameuzwa? Mbona hata kwenye kurasa profile na cover kuna picha za MUFC, au ndio alikuwa MUFC damu?
 
Hivi Matteo Darmian tumemtoa kwa mkopo au ameuzwa? Mbona hata kwenye kurasa profile na cover kuna picha za MUFC, au ndio alikuwa MUFC damu?
Aliuzwa..naskia bei ya mboga kabisa £1.5m
 
Acha upumbavu, Ronaldo na Messi si mawinga, Rashy kabla ya mwaka huu amekuwa akichezeshwa kama winga

Ronaldo na Messi wamekuwa wakitokea kati, pembeni n.k. Wapepewa leseni na makocha wao kutokea popote kwa kadiri game inavyoendelea.
Mo Salah na Mane ni central strikers?
 
Unajua formation wanayocheza wao miaka yote?

Kwani sasa hivi Rashy ni central striker? lakini amepewa leseni ya kuingia kati tofauti na formation za miaka ya nyuma
Mo Salah na Mane ni central strikers?
 
Hapo kirusi akae atembee tu uwanjani kama kawaida yake,maana visingizio kibao. Mara tununue mtu wa kumfanya acheze free, hiyo free ni ya aina gani? Awe anakaa tu asubiri kupewa mipira au?

Pogba ukimpa majukumu serious anaweza cheza vizuri dakika 80 then akaja akatoa Boko moja tunapoteza mechi.

Kipindi matic yupo form Pogba alikuwa anaachiwa na ule msimu tulioshika nafasi ya pili alikuwa na Mchango mkubwa, hata ile run bila kupoteza mechi Pogba ndio alikuwa katika centre ya kupeleka mashambulizi.

Namba anayopenda pogba mwenyewe Ni kiungo wa kati kushoto kwenye 4-3-3, anakuwa Kati ya beki wa kushoto na forward wa kushoto. Ila hatuwezi kucheza Hivi Bila Fred ama Namba 6 inayojielewa.
 
Fred sio namba 6 .

pia PoGba sio namba 10 kamili kama wakina David Silva . ni rahisi sana kubanwa na asifanye chochote, kumbuka gemu na paris OT.

Kwakuwa hatuna options tunaweza kufanya hivyo, lakini sio long term.

Summer tunaweza kumuuza then tukaleta viungo wawili, no6 mithili ya kante na namba 10. Namba 8 tayari tunao (MCT na Fred-kama atabadilika).
 
Mazee tuwape Zouma kama tulivyowapa Arsenal Luiz


Mna Million 40 za chap chap apo..tumalize biashara..tunajua Zouma atawafaa sana ..

Kila la kheri Chelsea
 
Sijaandika mahali pogba Ni 10 Bali nimeandika midfield ya Kati kushoto kwenye 4-3-3 namba ambayo alikuwa anacheza juve.

Na Fred Ni kiungo mkabaji/wa katikati, ameshacheza Mara kibao Kama midfield anaekaa nyuma kwenye 4-3-3 akiwa na shakhtar, hata best perfomance ya Fred na jezi ya Man UTD ni akicheza alongside MC tominay kuliko akiwa na Matic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…