Manchester United (Red Devils) | Special Thread

KDB anabebwa na team kwa kiwango kikubwa , work rate yake ni kubwa ila hawezi kumfikia Pogba
Tueleze timu kubwa inavyombeba ,Hata Messi sio bora kwa sababu anabebwa na Barcelona akiwa Argentina wanafungwa??
KDB alikuwa player of the season Bundesliga kabla hajasajiliwa na Man City na tangu amekuja EPL ameendelea ku-improve jinsi miaka inavyokwenda
 
Kumbuka KDB alitokea Chelsea ivyo alijengwa vizuri akiwa Chelsea..

#KTBFFH
 
Kevin DeBruyne kama unamuangalia vizuri basi utakubaliana nami kuwa dribbling yake ya kubabaisha ingawa off course ni mchezaji anaejituma
 
S
Mkuu sio ya kuna aisha, ila ukimlinganisha na Pogba kwenye dribbling, ni kweli amezidiwa

Lakini hivi dribbling ni kujua sana? Probably hata Lunyamila anamzidi KDB ku dribble

Viungo ambao wanaaminika kuwa ni kati ya viungo bora waliowahi kutokea duniani hawakuwahi kuwa mahiri kwenye dribbling, Scholes, Xavier, Lampard, Gerald, Pirlo n.k.

Kwa sasa kuna akina Maddison, Ericksen, KDB n.k.

Football is not just about dribbling
Kevin DeBruyne kama unamuangalia vizuri basi utakubaliana nami kuwa dribbling yake ya kubabaisha ingawa off course ni mchezaji anaejituma
 
Mkuu kipa anategemea defence , defence ikiwa bora akli yake inakuwa active Sana kufanya clearance, lakn kama kila mda anakuwa overwhelming ni ngumu et,.
 
Wapo wanaomkaribia kama Kelvin De Bruyne na Christian Eriksen
De brune anamzidi pogba huo ndo ukweli, jamaa ni fighter Sana, anafunga ana assist, na anakaba kinoma, pogba ana kipaji ila Hana jitihada, goigoi Sana, kiuchezaji bado pogba ana akili za kitoto, De brune ni mapafu ya mbwa jamaa ni non stop na ananyooka fito hatariii
 
Nasikitika hukunielewa vizuri
 
Hahaha siyo kwamba simkubali KDB ila hawezi kumgusa Pogba hata kidogo anamkaribia tu.

Kitu pekee kdb anamzidi Pogba ni commitment uwanjani
 
Hivi bado jezi yake inanunuliwa kwa wingi? Basi wazungu nao ni machizi. Uwezo haonyeshi,anaicost timu,watu washaanza kumchukia sasa jezi hizo anauzaje ktk kiwango cha kuwa icon ya timu?
halafu soko la jezi la United halipo Europe lipo Asia, mimi na wewe tutavaa jezi za mchezaji mwenye kiwango ila wao kuvaa jezi yenye jina la mtu fulani ni fahari kwao......Asia na mpira wapi na wapi???
 
mbona ipo wazi hiyo ...wale walioanza kuipenda United miaka ya 2006 ndo watashangaa katika hilo
 
yule dogo aliye kwa mkopo Sheffied United kwa mkopo.

kwa kuwa tunajenga timu basi arudi nyumbani kwa ajili ya ujenzi wa timu
 
na ubata ni kwamba timu haina uwezo wa kutoa Β£70+ kwa ajili ya kipa
 
yule dogo aliye kwa mkopo Sheffied United kwa mkopo.
kwa kuwa tunajenga timu basi arudi nyumbani kwa ajili ya ujenzi wa timu

Kumbe tuna mtu pale Sheffield. Hahahaha naona alidaka kwa kuridhisha mechi ya Chelsea ila naamini akija Man U apewe namba ataimprove. Sababu atakuwa amezungukwa na watu wakubwa kama Maguire hivyo atahakikisha anajenga heshima. Kama David James. Maana tulimsema katoka championship ila dogo katusaidia.
 
Hahaha siyo kwamba simkubali KDB ila hawezi kumgusa Pogba hata kidogo anamkaribia tu.

Kitu pekee kdb anamzidi Pogba ni commitment uwanjani
Aisee ila siwashangai pogba alishawahi ata kuongoza kwa assist duniani?

KDB kafanya akiwa wolrfusburg Pogba tumemjua kwa sababu ya kunyoa nyoa KDB ana assist kama hana akili nzuri ni level ya kina Busquets uyo na Xavi usimlinganishe na pogba. ambae hajafika hata robo ya uwezo wa ikay Gundogan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…