Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Welcome to the gang! I can imagine what it feels like. We at LFC have said this for 29 years now. ManUtd fans had a good laugh at us. And now, for 7 yrs we seem to be in the same boat. Our 29 was aslo 7 once, you'll find out soon.

Have a good luck
 
Usinihusishe na genge la watoto wa Lampard. Mimi ni mhenga wa namba 5-7 tokea msimu wa 2014/15 kasoro msimu wa 2017/18 nilipokamata nafasi ya 2. By the way, mpaka sasa wapo 2 - 2(Chelsea Vs Sheffield United).
 
hamna kitu na kichwa chake kama mchele uyo
 
May be one day kuna watu wataelewa matatizo tunayoongea hapa,
The worst thing is OGS atafukuzwa and cycle will continue
kwaiyo unatakaje asifukuzwe?

mnunueni matola atawasaidia
 
Mkuu kuna taarifa zimenifikia hapa. Inasemekana yule beki wetu maridadi mwenye kiwango cha kumuweka Harry bench amemtandika Kepa booonge la goli.

Zouma moja
Maguire hajapata kitu.
 
Niliwahi sema humu Man United iuze wachezaji wote ila si Herrera na Lukaku.

Ole akunisikiliza nikamwambia tena uza uyo Pogba Nununua Verrat wa psg akunisikiliza.

Kwenye dimba angesimama Matic na Herrera, Verrati anasogea mbele hawa watu wawili Herrera na Verrat wanauwezo waku offer vitu vingi zaidi ya Pogba kwanza wanakaba wanauwezo wa kupiga pasi za mwisho, kufungua pia wanaweza.

Nilimuandikia tweets akupuuzia, nikamuandikia email akapuuzia basi matokeo yake ndio haya.
 
utabaki kuwa shabiki daima
 
Tumeshacheza mechi 4 kati ya 38 tayari Man City wameshatuzidi point 5 ,Kama Liverpool akishinda atakuwa ametuzidi pointi 7,Imagine baada ya mechi 38 tutakuwa tumezidiwa pointi ngapi ?
Kama mwendo utakuwa hivi, mwisho wa msimu tutapoteza au kudraw zaidi ya mechi 19.
 
Formation imebuma, bado anaendelea kuitumia.

Unampango wa kuuza wachezaji, hununui wachezaji.

Unategemea uchukue ubingwa na Rashford.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…