Nilisema uyu Rashid akifika goli 15 EPL tu bas sita comment chochote kwenye huu Uzi hadi apo msimu mpya utakapo anza.
Naendelea kukazia.
Kila la kheri Chelsea
Usinihusishe na genge la watoto wa Lampard. Mimi ni mhenga wa namba 5-7 tokea msimu wa 2014/15 kasoro msimu wa 2017/18 nilipokamata nafasi ya 2. By the way, mpaka sasa wapo 2 - 2(Chelsea Vs Sheffield United).Hizi mech 2 mfululizo anazocheza Chelsea na hawa waliopanda daraja zisikudanganyeni mkaona mna timu,
Nilishawafanyia uchambuzi makini ,ikaonekana mtamaliza nafas ya 10,
Astonvilla kasajiri kuliko wenzake , ana wachezaji wazuri ,sina hakika kama kwa villa atashinda kirahis ikiwa Norwich & shefflied wanamuhenyesha , niliwaambia mtachukua point 4-6 kwa hawa wawili ,ila wolves ,Leicester , Everton, Watford , westaham ,mtagawana point au mpigwe,
Top 6 sion mtakayemfunga .
Kaka la kheri lipi unalotakia timu yako?Kila la kheri Chelsea
umelipokeaje papaso la Leo?Unatiwer nini wewe mpuuzi??..nimetaja udhaifu ulipo..na baada ya hapo nikasema sioni ubovu mwingine
hamna kitu na kichwa chake kama mchele uyo
Rashford sio mshambuliaji wa kutegemea mkuu,mimi nilikuwa nadhani labda Ole ameuza Lukaku bila kusajili akimtegemea hata Sanchez, kumbe tegemeo lake ni Martial na Rashford
Huyo Rashford msimu huu anaweza kuzidiwa magoli hata na dogo James, Rashford amekuzwa sana inafika muda anajiona kama Ronaldo vile. Ni mchezaji wa kawaida sana. Hana uhakika wa namba katika timu nyingi sana katika EPL. Ila kinachombaba ni uingereza wake.
kwaiyo unatakaje asifukuzwe?May be one day kuna watu wataelewa matatizo tunayoongea hapa,
The worst thing is OGS atafukuzwa and cycle will continue
Hahahah Ollachuga Oc hataki kukubali msimu huu nafas yao ni ya 10-15Nadhani ile ranging halisi ya Ollachuga Oc itaonekana kuanzia muda huu
Nadhani na AROON tayari ameshapiga kambi kwenye kigenge cha Chelsea
Manchester city na Liverpool ndio team za mashabiki smart sio wanywa gongo wa unitedMuda mfupi ujao nawakaribisha kwenye uzi wetu pendwa wa majogoo
Apo sawa lakini ukweli ni kwamba Chelsea tuna vijana ambao wanaingia moja kwa moja tena bila kupingwa kwenye first XI ya Ole ...
Mcheki Mount, ata Rashid anapigwa bench apa jpo yeye ana uzoefu na ligi.
Mcheki Kova apo ata Pogba anaeza pigwa benchi.
Mcheki Tammy ..Marshal apa anaeza kaa bench
Kwa upande Beki muko vizuri ..ila Magwaya anakalishwa vizuri tu na Zouma
Apo kati ndo usiseme Joghihno, Kante nani wa kuwaweka benchi apo Man u? Jibu ni hatuna..
Kepa anaeza mkompiti vizuri tu De gea na soon anachukua kipa namba moja Uspain..
Kila la kheri Chelsea
Mkuu kuna taarifa zimenifikia hapa. Inasemekana yule beki wetu maridadi mwenye kiwango cha kumuweka Harry bench amemtandika Kepa booonge la goli. Zouma moja Maguire hajapata kitu. |
Seriously he ought to, otherwise he going to get sucked shamefully by/with the same people(players), Ed and the management whose he trying hard impressing/em in the press.He should be a man and resign.
Jaman taratibu....tunaowashabikia wapo mamto huko, Ila Sisi ni ndug , twenden poleStupid is your father who fucked your bitch mom and then stupid kid was born
utabaki kuwa shabiki daimaNiliwahi sema humu Man United iuze wachezaji wote ila si Herrera na Lukaku.
Ole akunisikiliza nikamwambia tena uza uyo Pogba Nununua Verrat wa psg akunisikiliza.
Kwenye dimba angesimama Matic na Herrera, Verrati anasogea mbele hawa watu wawili Herrera na Verrat wanauwezo waku offer vitu vingi zaidi ya Pogba kwanza wanakaba wanauwezo wa kupiga pasi za mwisho, kufungua pia wanaweza.
Nilimuandikia tweets akupuuzia, nikamuandikia email akapuuzia basi matokeo yake ndio haya.
Ed >The Board>Glazer familyMay be one day kuna watu wataelewa matatizo tunayoongea hapa,
The worst thing is OGS atafukuzwa and cycle will continue
Kama mwendo utakuwa hivi, mwisho wa msimu tutapoteza au kudraw zaidi ya mechi 19.Tumeshacheza mechi 4 kati ya 38 tayari Man City wameshatuzidi point 5 ,Kama Liverpool akishinda atakuwa ametuzidi pointi 7,Imagine baada ya mechi 38 tutakuwa tumezidiwa pointi ngapi ?