Ni lini utaacha kunywa mataputapu??Man u tutamaliza 6 kama wolves akitupiga uefa, kumbuka Al ahly anaweza beba uefa hivyo tegemeo letu ni europa. Group stages ngumu sana hasa ukizingatia golf in atlantic katika cottage na pia pogba hawezi ufamasia.
I insist jiheshimuUngeanza kuwa na heshima usingevunjiwa heshima pia. Unaleta sources outdated then wataka ziwe valued. Ina maana hapo kwenye post yangu huoni link?
Dominance niliyomaanisha ni kudhibiti club zingine zote kutochukua Ubingwa kwa mfano kwa miaka kumi Pep atakosa ubingwa labda mara mbili ingawa hii haijawa practical bado ila naamini kama atafikisha miaka minane pale Manchester city anaweza chukua EPL saba au sita tofauti na Mzee Ferguson ambae miaka 26 pale Old Traford kachukua EPL 13, sasa njoo kwa Pep miaka aliyokuwepo Barca Alikosa La Liga mara ngapiMkuu unaposema dominance ambayo hata fergie alishindwa cjaelewa ipo katka misingi ipi, kwa sababu man city epl kachukua mara mbili mfulurizo ila fergie alisha chukua mara tatu mfulurizo twice.
Sasa cijaelewa mbili inakuwaje dominance afu tatu isiwe.
We jamaa sina Staha kwani nimetukana au kutumia lugha gani mbaya humu?Wakuu kuna wachangiaji hawana staha humu
MKUYENGE
Musamila
Steve Mollel
Mbona tuna mashabiki wengine wa Liverpool, Chelsea, Arsenal
Wana staha tu! Mwangalie Ollachuga OC kabadilika anachangia kistaha na AARON naye yupo vizuri.
King Ngwaba, Don....
Wanachangia vizuri tu.
Hawa jamaa!
MKUYENGE
Musamila
SteveMollel
Tunaomba mjiheshimu na mtambue mna wakubwa wenu humu maana watu kunzisha uzi 2007 inaonyesha ni wakubwa. Kuweni na staha.
chief, aliyekutana na adhabu ya magoli saba alikuwa ni marehemu tito villanova.Na Hapa mkuu hatuongelei kupoteza mechi, pep alipigwa 7 na Bayern siwezi tumia hio mechi kumshusha na kusema Ni kocha mbaya, Ila Hapa tunaongelea ili uwe regarded best ever coach unahitaji kufanya extra ordinary things, vitu ambavyo watu walidhani haviwezekani,
Kuna Post hapo mbele nimesema hii Dominance imeshaonekana kuingia ila haijawa PracticalPep ameleta dominance Uingereza kwa kuchukua kombe kwa kuizidi Liverpool point 1
PSG amechukua kombe mara 7/8 mfululizo, Juventus mwaka wa 7 mfululizo, Bayern naye miaka zaidi ya 6 halafu ufananishe na ligi ya Uingereza
Mzee acha kutulisha matango pori
My mistake, kweli Ni Tito.chief, aliyekutana na adhabu ya magoli saba alikuwa ni marehemu tito villanova.
Mkuu kwani kuchukua kombe mara 3 mfululizo unadhani amefanya SAF tu, zimefanya timu nyingi pale uingereza akina Arsenal wote wamefanya hivyo. Kwa hiyo hata Pep akichukua kombe la tatu hatavunja record yoyote
Record ya SAF iliyompa jina la Sir ambayo haijavunjwa ni ya treble yenye champions League ambapo Pep pamoja na oil money hatakuja kamwe kuivunja
We jamaa sina Staha kwani nimetukana au kutumia lugha gani mbaya humu?
Mkuu pep anaenda Bayern ndani ya miaka 4 wameingia fainali 3 za Uefa, kaingia fainali na Inter 2010, fainali na Chelsea 2012 mpaka kuja kuchukua na Dortmund, je kwa timu ilioingia fainali 3 ndani ya miaka 4 kuifikisha nusu fainali Ni Mafanikio?
Hapo man city kwenyewe pelegrini kaifikisha nusu fainali ya champions league Pep ameshindwa mpaka leo.
Na ubingwa wa ligi hata Kama angechukua na point trilioni 1 still ni ubingwa, hio Ni Kama sukari tu juu ya keki, na Fergie mara kibao alikuwa na uwezo wa kuvunja rekodi ya point, tumewahi pia kuchukua ubingwa unbeaten man U Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi, Ila kawaida ya Fergie akishachukua ubingwa anapanga watoto wa academy mpaka league iishe. Unakuta watoto ndio wanaanza kutoa draw ama kufungwa.
Hapo Barcelona velverde Hana kina xavi na Iniesta Ila nikukumbushe Karibia rekodi zote za Pep kazivunja Enrique kipindi Cha MSN (Messi/suarez/Neymar) kuanzia magoli, ubingwa wa Uefa, Ligi etc) je na Enrique nae Ni kocha Bora zaidi kupata kutokea?
Na Hapa mkuu hatuongelei kupoteza mechi, pep alipigwa 7 na Bayern siwezi tumia hio mechi kumshusha na kusema Ni kocha mbaya, Ila Hapa tunaongelea ili uwe regarded best ever coach unahitaji kufanya extra ordinary things, vitu ambavyo watu walidhani haviwezekani,
Mfano Pep leo hii akiwapa man City Uefa, Atakuwa ameingia kwenye list ya makocha Bora zaidi sababu Atakuwa amefanya Jambo ambalo makocha wote waliokuja city wameshindwa na atapewa status ya ulegend pale.
Champions league robo fainali..2013..hakuwa pep lakini.Mechi gani pep alipigwa saba na buyern.....kama barcelona sidhani kama kocha alikua ni yeye
Ila akiwa Bayern alichabangwa saba na Barcelona, mechi moja Messi akimlamba chenga maridhawa Boateng akaanguka na Messi akatikisa nyavu. Sina kumbukumbu nzuri ya idadi ya magoli.Mechi gani pep alipigwa saba na buyern.....kama barcelona sidhani kama kocha alikua ni yeye
ngoja nichomoe nyuki waliolala muda huu:Na sio ya Mzee Ferguson miaka 26 Ubingwa mara 13 yaani nusu ya miaka yake ya Ukocha pale Old Traford ndio kachukua ubingwa
alifungwa magoli matano kwa mechi mbili na real madrid.Ila akiwa Bayern alichabangwa saba na Barcelona, mechi moja Messi akimlamba chenga maridhawa Boateng akaanguka na Messi akatikisa nyavu. Sina kumbukumbu nzuri ya idadi ya magoli.
Huu mjadala nadhan sasa utarud rasmi na natabiri utapamba moto sana.Alivyokuwa nayo saba sasa hivi ana mangapi na Manchester ana mangapi in total? Au umehisi tu kubwabwaja?
Liverpool ndo timu yenye makombe mengi Uingereza yote immediately baada ya kuwa crowned Super Cup!
Eti lazima , ww jamaa unaendaga chaka sanaHakuna kocha alie level moja na PEP kwa sasa
Pep ni kocha ambae mkikutana kwenye ligi mechi moja lazima akufunge
Semeni kumfunga sio story ila iko hivyo kwamba timu zote za EPL lazima zitapokea kichapo kwa Pep msimu huu na ijayo sawa mshinde lakini game moja lazima awafunge humfungi Pep nje ndani moja lazima akufunge
Man u tutamaliza 6 kama wolves akitupiga uefa, kumbuka Al ahly anaweza beba uefa hivyo tegemeo letu ni europa. Group stages ngumu sana hasa ukizingatia golf in atlantic katika cottage na pia pogba hawezi ufamasia.
Miaka 26 ubingwa 13 haijafikia level ya Dominance wanayoifanya Bayern, Juve na PSGngoja nichomoe nyuki waliolala muda huu:
kwa uoni wangu dhaifu miaka minne ya mwanzoni tokea akabidhiwe timu sidhani kama itakuwa ni sahihi kumhukumu sir alex kwa kushindwa kufanya vizuri kwa sababu aliikuta timu ikiwa ovyo sana na ilihitaji muda kuingiza idea na sera mpya za uendeshaji wa klabu ndani na nje ya uwanja ikiwemo kurudisha nidhamu bora ya kiuchezaji , tukumbeke ya kuwa hakuikuta united ikiwa kwenye ubora kama ilivyo nyakati hizi kifedha na hata kimipango endelevu.
kwangu mimi nautizama zaidi udhaifu wa fergie kutoka mwaka 1999 alipobeba treble hadi mwaka 2008 ambapo ni takribani miaka 10 ambayo alikaa bila ya kubeba ubingwa wa ulaya na wakati huo huo ndani ya miaka 10 hiyo kama nitakuwa nipo sahihi amebeba ubingwa wa ligi takribani mara sita, inawezekana zipo sababu nyingi zilizopelekea kukaa tena muda mrefu bila ya kubeba ubingwa wa uefa ikiwemo ushindani mkubwa kutoka kwa wapinzani kama vile ac milan, munich, madrid, na wababe wengineo.
je ligi kuu ya uingereza nayo ilikuwa ni dhaifu sana ndio maana fergie alikuwa anabeba ubingwa mara kwa mara kabla ya ujio wa matajiri wengineo mfano wa roman na mansour?
je inawezekana ujio wa matajiri mfano wa abramovich ulichochea kumtoa ferguson usingizini na hatimaye akatengeneza tena timu ya ushindani kama ya mwaka 1999 iliofanya vizuri kwa miaka mitatu mfululizo ndani na nje ya uingereza?
kwa timu aliyoijenga fergie nyakati zile baada ya kutoka kushinda makombe matatu (kizazi cha giggs,nevile brother, cole, yorke, beckham, solskjaer, keane, scholes, butt, stam) na nguvu aliyojaaliwa kuwa nayo kimatumizi ambayo aliijenga kwa nguvu na jasho lake mwenyewe (rejea usajili wa rio, veron, nistelrooy, rooney, berbatov, nani, anderson) hakupaswa kukaa tena miaka 10 ndipo abebe tena ubingwa wa ulaya, angalau ingelikuwa kila baada ya miaka 5 amebeba ubingwa basi ningelizidi kumpa heshima ya kuwa manager bora wa karne.
kwangu mimi namtizama sir alex kama ni mwalimu ambaye ndoto yake kubwa aliyokuwa anaipigania ni kuona anavunja kwanza utawala wa liverpool kimafanikio kwenye ligi kuu ya uingereza na si kuvunja mafanikio ya liverpool na timu nyenginezo kwenye ligi ya mabingwa.
mbona guardiola ana champions league mbili kwa miaka 10 ya ufundishaji wake soka?
mbona mourinho ana champions league mbili kwa miaka 15 ya ufundishaji wake soka?
mbona ancelotti ana champions league tatu kwa miaka yake 24 ya ufundishaji soka?
mbona zidane ana champions league tatu kwa miaka yake minne ya ufundishaji soka
maswali na majibu
tumuache sir alex ferguson apumzike.
Ilikuwa aggregate ya 5-3 Bayern/Guardiola akipigwa Knockout na Barça ya EnriqueIla akiwa Bayern alichabangwa saba na Barcelona, mechi moja Messi akimlamba chenga maridhawa Boateng akaanguka na Messi akatikisa nyavu. Sina kumbukumbu nzuri ya idadi ya magoli.
Mkuu unaongea nadharia sanaDominance niliyomaanisha ni kudhibiti club zingine zote kutochukua Ubingwa kwa mfano kwa miaka kumi Pep atakosa ubingwa labda mara mbili ingawa hii haijawa practical bado ila naamini kama atafikisha miaka minane pale Manchester city anaweza chukua EPL saba au sita tofauti na Mzee Ferguson ambae miaka 26 pale Old Traford kachukua EPL 13, sasa njoo kwa Pep miaka aliyokuwepo Barca Alikosa La Liga mara ngapi
Dominance ya kiukweli ipo Germany kwa Bayern , Italy kwa Juventus right now na France kwa PSG kwamba unakuta miaka kumi Bayern kakosa Bundesliga mara mbili tu na Dominance kama hiyo imeshaingia EPL kama Pep ataendelea kubaki miaka mingi
Na sio ya Mzee Ferguson miaka 26 Ubingwa mara 13 yaani nusu ya miaka yake ya Ukocha pale Old Traford ndio kachukua ubingwa