Kipindi Liver ana makombe 18 ya ligi kuu (haya aliyo nayo sasa hivi), United alikuwa ana 7Most Successful English club ndio ipi hiyo, kadanganye wenzako huko kwenye nyuzi zenu
Halafu je unajua kipindi Liverpool ana makombe ya ligi kuu ya Uingereza, United alikuwa anayo 7 tuView attachment 1187572View attachment 1187573
Huku akifundisha timu ambazo hata yeye asingekuwepo Zina uwezo wa kuchukua ubingwa.Toka 2008 Pep ndie kocha aliechukua mataji mengi kuliko Kocha yeyote Ulaya. Chukieni ila mpeni haki yake kuwa ni kocha bora zaidi duniani ambayo kila Club inamtamani
Kuhusu kutumia pesa nyingi ili kupata mafanikio mbona makocha wengi wametumia pesa kubwa mrejesho ukawa hauridhishi? PSG, Barça nae anatumia pesa nyingi sana ila UEFA hajachukua mwaka wa tano huu.
Pep ni kocha bora duniani
Umeongea ukweli mchungu sana,Huku akifundisha timu ambazo hata yeye asingekuwepo Zina uwezo wa kuchukua ubingwa.
Mfano niambie Kuna wonders ngapi pep anaefanya kwa kuipa timu ubingwa ama ku improve kitu Fulani ambacho mwanzo watu waliona Kama Ni impossible. Mfano nakupa
-Sir Alex Ferguson aliipa ubingwa wa ulaya Aberdeen ambayo huko Scotland kwenyewe Ni kibonde, akizifunga timu Kama Madrid na Bayern.
-Lvg Akiipa Ajax ubingwa wa ulaya mara mbili na Vitoto vyake.
-Lvg huyo huyo akaondoa Ubabe wa kina Ajax, psv na Faynoord kwa kuipa ubingwa Az Alkmaar ambayo hata hawakuwa favourite.
-Mou kuipa Ubingwa wa ulaya Porto.
-Mou huyo huyo kuwapa ubingwa Chelsea (japo nae Hapa alispend vya kutosha)
-Ranieri na Leicester yake
-klop na ligi ya ujerumani alipokuwa Borussia
In short mkuu with evidence naweza kupa toka pep aje Man city hajawahi kupanga watoto/Team B asifungwe, Ashajaribu Sana Uefa ama Fa/Efl akipanga tu watoto anafungwa. Hii inaonesha kabisa philosophy zake zinahitaji world class players na sio kocha mzuri Kama watu wanavyomnadi.
AEti spurs aliyekubanduaMr mimi ni bingwa wa UEFA na SUPERCUP mzee. Shabiki wa the Most English successful club. Huyo Lingard akifikisha hata goli nane msimu huu, najipiga ban. Huna timu ya kumsumbua city wewe si kwako wala kwake!
Most Successful English club ndio ipi hiyo, kadanganye wenzako huko kwenye nyuzi zenu
Halafu je unajua kipindi Liverpool ana makombe ya ligi kuu ya Uingereza, United alikuwa anayo 7 tuView attachment 1187572View attachment 1187573
| LIVERPOOL | MAN UNITED |
| Ligi 18 UCL 6 UEL 3 U Super Cup 4 Club World Cup 0 FA 7 Carabao 8 | Ligi 20 UCL 3 UEL 1 U Super Cup 1 Club World Cup 1 FA 12 Carabao 5 |
| JUMLA 46 | JUMLA 43 |
| Ngao 16 | Ngao 21 |
| Jumla ya Makombe + Ngao 62 | Jumla ya Makombe + Ngao 64 |
Super cup na ngao ya Hisani si wale wale?
LIVERPOOL MAN UNITED Ligi 18
UCL 6
UEL 3
U Super Cup 4
Club World Cup 0
FA 7
Carabao 8Ligi 20
UCL 3
UEL 1
U Super Cup 1
Club World Cup 1
FA 12
Carabao 5JUMLA 46 JUMLA 43 Ngao 16 Ngao 21 Jumla ya Makombe + Ngao 62 Jumla ya Makombe + Ngao 64
Nimeweka Mchanganuo Kama Nimekosea Naomba usinishambulie bali unisahihishe.
Nadhani aliposema kuwa 'Liverpool ni Most successful Club in England' itakuwa hajakosea interm of Makombe coz Liverpool ndiyo timu yenye Makombe mengi kuliko timu yoyote ya Kiengereza akiwa na Jumla ya Makombe 46 dhidi ya 43 ya Man United.
Lakini tukija mpaka kuhesabu Ngao za hisani basi Manchester United ndiyo timu yenye Trophies nyingi kuliko timu yoyote ya Kiengereza kwasababu inabebwa na Ngao 21.
Lakini kuhusu hayo Makombe 66 uliyoweka hapo Mkuu Naomba ufafanuzi ni Makombe gani labda? Au umechanganya na Yale muliyobeba preseason?
Google sometimes ina mislead
Natanguliza shukurani,
Yours sincerely,
King Ngwaba
Alivyokuwa nayo saba sasa hivi ana mangapi na Manchester ana mangapi in total? Au umehisi tu kubwabwaja?Most Successful English club ndio ipi hiyo, kadanganye wenzako huko kwenye nyuzi zenu
Halafu je unajua kipindi Liverpool ana makombe ya ligi kuu ya Uingereza, United alikuwa anayo 7 tuView attachment 1187572View attachment 1187573
Unadhani hajui? Anajitoa ufahamu naona...
LIVERPOOL MAN UNITED Ligi 18
UCL 6
UEL 3
U Super Cup 4
Club World Cup 0
FA 7
Carabao 8Ligi 20
UCL 3
UEL 1
U Super Cup 1
Club World Cup 1
FA 12
Carabao 5JUMLA 46 JUMLA 43 Ngao 16 Ngao 21 Jumla ya Makombe + Ngao 62 Jumla ya Makombe + Ngao 64
Nimeweka Mchanganuo Kama Nimekosea Naomba usinishambulie bali unisahihishe.
Nadhani aliposema kuwa 'Liverpool ni Most successful Club in England' itakuwa hajakosea interm of Makombe coz Liverpool ndiyo timu yenye Makombe mengi kuliko timu yoyote ya Kiengereza akiwa na Jumla ya Makombe 46 dhidi ya 43 ya Man United.
Lakini tukija mpaka kuhesabu Ngao za hisani basi Manchester United ndiyo timu yenye Trophies nyingi kuliko timu yoyote ya Kiengereza kwasababu inabebwa na Ngao 21.
Lakini kuhusu hayo Makombe 66 uliyoweka hapo Mkuu Naomba ufafanuzi ni Makombe gani labda? Au umechanganya na Yale muliyobeba preseason?
Google sometimes ina mislead
Natanguliza shukurani,
Yours sincerely,
King Ngwaba
Super cup na ngao ya Hisani si wale wale?
Ndo hoja yako hiyo? Mimi nikajua utapinga kwamba Lingard hatafikisha hata goli nane kwa msimu wewe waanza matusi.Wewe ni mgeni sana kwenye mpira ama unajifunza, nilichokupendea ni kuanza mechi ya manchester derby mapema...sijaangalia lini watacheza lakini wewe ni kitoshi.
A
Pep anabebwa pesa tu. Nje na hapo ni Mwalimu wa kawaida kama Salum Mayanga tuHuku akifundisha timu ambazo hata yeye asingekuwepo Zina uwezo wa kuchukua ubingwa.
Mfano niambie Kuna wonders ngapi pep anaefanya kwa kuipa timu ubingwa ama ku improve kitu Fulani ambacho mwanzo watu waliona Kama Ni impossible. Mfano nakupa
-Sir Alex Ferguson aliipa ubingwa wa ulaya Aberdeen ambayo huko Scotland kwenyewe Ni kibonde, akizifunga timu Kama Madrid na Bayern.
-Lvg Akiipa Ajax ubingwa wa ulaya mara mbili na Vitoto vyake.
-Lvg huyo huyo akaondoa Ubabe wa kina Ajax, psv na Faynoord kwa kuipa ubingwa Az Alkmaar ambayo hata hawakuwa favourite.
-Mou kuipa Ubingwa wa ulaya Porto.
-Mou huyo huyo kuwapa ubingwa Chelsea (japo nae Hapa alispend vya kutosha)
-Ranieri na Leicester yake
-klop na ligi ya ujerumani alipokuwa Borussia
In short mkuu with evidence naweza kupa toka pep aje Man city hajawahi kupanga watoto/Team B asifungwe, Ashajaribu Sana Uefa ama Fa/Efl akipanga tu watoto anafungwa. Hii inaonesha kabisa philosophy zake zinahitaji world class players na sio kocha mzuri Kama watu wanavyomnadi.
Huku akifundisha timu ambazo hata yeye asingekuwepo Zina uwezo wa kuchukua ubingwa.
Mfano niambie Kuna wonders ngapi pep anaefanya kwa kuipa timu ubingwa ama ku improve kitu Fulani ambacho mwanzo watu waliona Kama Ni impossible. Mfano nakupa
-Sir Alex Ferguson aliipa ubingwa wa ulaya Aberdeen ambayo huko Scotland kwenyewe Ni kibonde, akizifunga timu Kama Madrid na Bayern.
-Lvg Akiipa Ajax ubingwa wa ulaya mara mbili na Vitoto vyake.
-Lvg huyo huyo akaondoa Ubabe wa kina Ajax, psv na Faynoord kwa kuipa ubingwa Az Alkmaar ambayo hata hawakuwa favourite.
-Mou kuipa Ubingwa wa ulaya Porto.
-Mou huyo huyo kuwapa ubingwa Chelsea (japo nae Hapa alispend vya kutosha)
-Ranieri na Leicester yake
-klop na ligi ya ujerumani alipokuwa Borussia
In short mkuu with evidence naweza kupa toka pep aje Man city hajawahi kupanga watoto/Team B asifungwe, Ashajaribu Sana Uefa ama Fa/Efl akipanga tu watoto anafungwa. Hii inaonesha kabisa philosophy zake zinahitaji world class players na sio kocha mzuri Kama watu wanavyomnadi.
Hakuna kocha alie level moja na PEP kwa sasaMkuu nimesoma mjadala wako na Mc cane niseme tu umetengeneza topic yako kwa nini nasema hivyo hamna aliposema pep ni kocha mbovu hamna anaemchukia kuweka sawa kazungumzia kufungwa kwake pep ni kocha bora halina ubish isipokuwa tusiambiane timu anazofundisha ni uhakika kuzifunga timu zote mbovu na nzur anazokutana nazo hivyo yaani ni hapa mshabik mmoja anasema city kumfunga manchester united ni uhakika kiuhalisia kwenye karatasi ipo hivyo ila ki mbinu vitu viwili tofauti
Nasubiri wajibu niweke pesaWazee vipi hii mechi na c.palace tutachomoka kweli?
Mjadala ufungwe..Huku akifundisha timu ambazo hata yeye asingekuwepo Zina uwezo wa kuchukua ubingwa.
Mfano niambie Kuna wonders ngapi pep anaefanya kwa kuipa timu ubingwa ama ku improve kitu Fulani ambacho mwanzo watu waliona Kama Ni impossible. Mfano nakupa
-Sir Alex Ferguson aliipa ubingwa wa ulaya Aberdeen ambayo huko Scotland kwenyewe Ni kibonde, akizifunga timu Kama Madrid na Bayern.
-Lvg Akiipa Ajax ubingwa wa ulaya mara mbili na Vitoto vyake.
-Lvg huyo huyo akaondoa Ubabe wa kina Ajax, psv na Faynoord kwa kuipa ubingwa Az Alkmaar ambayo hata hawakuwa favourite.
-Mou kuipa Ubingwa wa ulaya Porto.
-Mou huyo huyo kuwapa ubingwa Chelsea (japo nae Hapa alispend vya kutosha)
-Ranieri na Leicester yake
-klop na ligi ya ujerumani alipokuwa Borussia
In short mkuu with evidence naweza kupa toka pep aje Man city hajawahi kupanga watoto/Team B asifungwe, Ashajaribu Sana Uefa ama Fa/Efl akipanga tu watoto anafungwa. Hii inaonesha kabisa philosophy zake zinahitaji world class players na sio kocha mzuri Kama watu wanavyomnadi.
Man City huyu alikuwa na uwezo wa kuchukua ubingwa kibabe kwa gap la Points 19 kama 2017/2018 bila ya Pep?Huku akifundisha timu ambazo hata yeye asingekuwepo Zina uwezo wa kuchukua ubingwa.
Mfano niambie Kuna wonders ngapi pep anaefanya kwa kuipa timu ubingwa ama ku improve kitu Fulani ambacho mwanzo watu waliona Kama Ni impossible. Mfano nakupa
-Sir Alex Ferguson aliipa ubingwa wa ulaya Aberdeen ambayo huko Scotland kwenyewe Ni kibonde, akizifunga timu Kama Madrid na Bayern.
-Lvg Akiipa Ajax ubingwa wa ulaya mara mbili na Vitoto vyake.
-Lvg huyo huyo akaondoa Ubabe wa kina Ajax, psv na Faynoord kwa kuipa ubingwa Az Alkmaar ambayo hata hawakuwa favourite.
-Mou kuipa Ubingwa wa ulaya Porto.
-Mou huyo huyo kuwapa ubingwa Chelsea (japo nae Hapa alispend vya kutosha)
-Ranieri na Leicester yake
-klop na ligi ya ujerumani alipokuwa Borussia
In short mkuu with evidence naweza kupa toka pep aje Man city hajawahi kupanga watoto/Team B asifungwe, Ashajaribu Sana Uefa ama Fa/Efl akipanga tu watoto anafungwa. Hii inaonesha kabisa philosophy zake zinahitaji world class players na sio kocha mzuri Kama watu wanavyomnadi.
Kama anabebwa na Pesa basi mnajitukana wenyewe sababu Club yenu ina pesa kuliko Barca, Bayern,Manchester city Club ambazo Pep amefundishaPep anabebwa pesa tu. Nje na hapo ni Mwalimu wa kawaida kama Salum Mayanga tu