Hivi lingard anafanya kazi gani uwanjani,kocha anampa nini huyu fala hajui hata kutuliza!ni mchezaji wa ajabu kuwahi cheza MU. Lingard wa hovyo sanaaaa,roho yangu inatuliaga akitokaga huyu mbwa wa kingereza na hata akibahatisha goli maana hajui mpira huwa sishangilii,hajui mpira huyu fala naumia sana