Fundi wa kulinganisha na Pogba hapo labda Modrick, huyo Kelvin ni average tuu sema ana jitihada lakini uchezaji wake hauna mvuto. Hakuna mtu atalipa hela kwenda uwanjani kumwona Kelvin specificallyMie mbali na tabia zake nje ya uwanja,hata uwajibikaji wake ndani ya uwanja haunivutii kabisa. Angalia watu kama kdb,modric, wana mambo makubwa sana lakini wanakimbia karibu eneo lote na muda wote ndani ya dakika 90. Pogba ndio anasababisha kiungo chetu kilegee maana hakabi achilia mbali kupoteza mipira kizembe.
Kitu kingine man utd ndio imekuza brand ya pogba,tofauti na alivyokuja. Na sidhani kama akiondoka man utd ataendelea kuwa na dhamani ile ile,maana man utd fan base yetu ni kubwa pamoja na upungufu wetu wa quality players,anaonekana yeye tu.
Wachezaji wa Liverpool sio wa quality kubwa sana lakini team work na commitment inawabeba hadi kiungo chao kinaonekana babkubwa. Saa nyingine,kipaji bila uwajibikaji ni bure kabisa. January aje SMS na BF tushindanie kumiliki kiungo na vigogo wenzetu pale EPL.
Fundi wa kulinganisha na Pogba hapo labda Modrick, huyo Kelvin ni average tuu sema ana jitihada lakini uchezaji wake hauna mvuto. Hakuna mtu atalipa hela kwenda uwanjani kumwona Kelvin specifically
He'll go anyway.He cares a lot
He is desperate to go to Madrid
Hizo timu zote zimewauza hao wachezaji wakiwa wameshajipanga kuziba mapengo yao.Usiwe short sighted mkuu.
Man City wanachukua makombe sababu Pogba ni mchezaji wao? Au Liverpool?
Au performance ya Leister city ni sababu Pogba ni mchezaji wao?
Hamna haja ya kuangalia nje ya Uingereza, Unajua Chelsea wamemuuza Hazard kwa sababu alikuwa tayari anaipanda timu kichwani kwa tabia zake za kifalafala kama za Pogba? na bado Hazard hakuwa amefikia kiwango cha ushenzi wa Pogba.
Wakati Barcelona wanamuuza Neimar unajua alikuwa anaonyesha tabia kama anazoonyesha pogba Man U? na unafahamu PSG wako tayari kukauzia mbali sababu ya Tabia hizo hizo za hovyo? Barcelona walikuwa nini baada ya kumuuza Neimar, walishuka daraja?
Unajua wakati Liverpool walimuuza Coutinho sababu na yeye alianza kuonyesha Tabia kama za Pogba? baada ya countino kuondoka what happened to liverpool? walishuka daraja?
Sasa naomba unisikilize mzuri, unasikia?
Man U, Chelsea,Liverpool, Arsenal, Man City, HIZI NI TEAM, ZINAWAKILISHWA NA WACHEZAJI KUMI NA MOJA UWANJANI KILA MMOJA AKIWA NA MCHANGO WAKE.
Pogba ni mchezaji mshenzi anayeharibu morale ya timu nzima, Hata kama akifunga magori 100 kila mechi asipobadirisha fikra na tabia zake za kipumbavu kwangu atabaki kuwa fala na siku wakimuondoa hapo fala huyo I will drink to it.
Walitakiwa waletwe viungo kabla ya kumuuza Pogba.Pogba ile first half ya gemu ya chelsea ndo nilikubali huyu jamaa ana mambo ya kipuuzi sana..utoto mwingi usiokuwa na maana..Kila akipata mpira hataki kuuachia mapema analeta mbwembwe mwishoni anapokonywa..
Pogba anajua ila hatuwezi kufanikiwa kwa aina hii ya wachezaji..hivi watu huwa wanamuangalia KDB anavyopiga kazi 90 min bila kuleta leta upuuzi??..
Huyu jamaa ni wakuuzwa na replacement yake ifanyike..
Hawa watu hawawezi kutafuta kiungo mpaka pogba aondoke.Walitakiwa waletwe viungo kabla ya kumuuza Pogba.
Hili suala halikufanyika dirisha lilipokuwa wazi.
Dirisha lililopita mmeshindwa kuleta hao wachezaji.Mie mbali na tabia zake nje ya uwanja,hata uwajibikaji wake ndani ya uwanja haunivutii kabisa. Angalia watu kama kdb,modric, wana mambo makubwa sana lakini wanakimbia karibu eneo lote na muda wote ndani ya dakika 90. Pogba ndio anasababisha kiungo chetu kilegee maana hakabi achilia mbali kupoteza mipira kizembe.
Kitu kingine man utd ndio imekuza brand ya pogba,tofauti na alivyokuja. Na sidhani kama akiondoka man utd ataendelea kuwa na dhamani ile ile,maana man utd fan base yetu ni kubwa pamoja na upungufu wetu wa quality players,anaonekana yeye tu.
Wachezaji wa Liverpool sio wa quality kubwa sana lakini team work na commitment inawabeba hadi kiungo chao kinaonekana babkubwa. Saa nyingine,kipaji bila uwajibikaji ni bure kabisa. January aje SMS na BF tushindanie kumiliki kiungo na vigogo wenzetu pale EPL.
Chelsea watakuja na ngonjera ,kuwa wameupiga mwingi sanaNaona indocator lampand huyoooooooo anarushiwa virago
hahaha.... wameupiga mwingi sanaaChelsea watakuja na ngonjera ,kuwa wameupiga mwingi sana
Hata hivyo ratiba yao imekuwa taiti kiaina!!hahaha.... wameupiga mwingi sanaa
Watu sijui mnamponda vipi pogba..nadhani media nazo zinachangia kumfanya jamaa aonekane kama kijana mtovu wa nidhamu kumbe sio kweli....inasemekana kati ya wachezaji wapambanaji sana na wahamasishaji wa wachezaji wengine pogba mmoja wao...akiondoka yule timu yetu itakua imekwisha
Ole alimfundisha Pogba akiwa mdogo na nobody know him except some United fans,Pogba wa sasa ana fedha nyingi,ameshakuwa superstaa na kibaya zaidi wakala wake ni Mino Raiola (Pep & SAF ) hawataki kumsikia kabisaOle amemfundisha Pogba mtoto kabla hajaenda Juventus, miaka ya 2009 mpaka 2011. Ndio maana unaona ana hopes za kumbadili.
Rambirambi katoe kwenu in advance.ndugu zangu vipi humu tunaweza kuweka kambi au tuache rambi rambi in advance?