Manchester United (Red Devils) | Special Thread

man utd wanacheza km Jkt Ruvu tena bora hata ya jkt huwa wanakaa na mpira
 
Liverpool wakienda half time bila goli ngoma yao itakua ngumu baada Ferguson kutembeza bakora locker room
 
dah man yu nipo hapa natazama kipute! Nani analeta za kuleta? Leo lazima liver apewe kitu,kama sh 100 kwenye sumaku
 
Eishh!! Rejao give us a break bwanaa..usituombee kipigo, hujui na nyie mna mechi leo leo!! khe khe khe
Baadaye najua utakuwa upande wetu no matter what. Naona vijana wa Liver wanawafanyia sivyo kabisa. Sioni mnachokicheza. Au ni kwa sababu ya kukosekana kwa Scholes na Rooney?
 
liverpool anawaonea sana manure ... vipi wakuu
Bora useme wewe nkisema mm wanasema majungu.
Leo nipo Liverpool kwa mkopo....
 
Baadaye najua utakuwa upande wetu no matter what. Naona vijana wa Liver wanawafanyia sivyo kabisa. Sioni mnachokicheza. Au ni kwa sababu ya kukosekana kwa Scholes na Rooney?

Tatizo lenu mnafikiri kila timu inapenda kucheza chenga twawala.

Na hiyo kadi nyekundu mtasemwa Man U inabebwa.
 
I dont agree with the REF at All.... that was never even a YELLOW card..... they both went for the Ball..... The REF is too BIAS......STUPID decision ruins this game......
 
nipo live kwenye monitor hapa msilete utani dondosheni yanayoendelea uwanjani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…