Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liverpool vibonde wa timu nyingine kasoro Man United.

Mwambie mwaarabu hilo kapu ataishia kubebea tende.

Arsenal 2 Man City 1. ,
Man U inalemewa kwa sasa ila sioni matokeo mazuri kwa KOP zaidi ya sare.

Yangu macho, ngoja nitafute mzinga mwingine wa konyagi..
 
Duh! angalia usilipuke tu kabla hata ya HT 🙂

Man U inalemewa kwa sasa ila sioni matokeo mazuri kwa KOP zaidi ya sare.

Yangu macho, ngoja nitafute mzinga mwingine wa konyagi..
 
Ila SAF anakosea kutumia mfumo wa 4-5-1. RvP anapaswa awe na msaidizi nyuma yake. Ngoja tuone...
 
Japo hakuna Goli but hii kitu wanayofanya Livapuli ni nomaa.... hii ndo watoto wa mjini wanaitwa "KAMATA MWIZI MEEEEEN" kiuongo ya Man Utd Kwishney.... Inahitaji babu aingie alete uhai pale kati...... Comon Fargie....Bring inn that SCHOLES he has the experience and skills to turn things around pale between....
 
km kuna mchezaji ambaye simpendi ni luisi nani maana kazi yake kupoteza mipira
 
Back
Top Bottom