Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah man utd tuna maneno,sioni watu wakiongelea mapungufu yetu eneo la kati. Hii chelshit sio kikosi cha kwanza kwa nijuavyo mimi.
Bado tulihitaji kuwa na Bruno. Daemusin kama niaminivyo mimi,kipimo chetu kamili ni mbweha.
GGMU
mkuu tofauti kubwa iliojitokeza kati yetu na chelsea kwenye mechi ya leo ukiachana na ishu nyenginezo zisizoepukika ni kwamba chelsea wamemuondoa mchezaji wao muhimu sana ambaye ni eden hazard wakati manchester united wamembakisha mchezaji wao muhimu ambaye ni paul pogba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…