Ole bado anajifunza kama ambavyo benchi lake zima la ufundi linavyojifunza.Mi namshangaa sana anaona soka la leo ni kama lile la miaka ya fergie....kwa sababu tu kule molde alisajili vitoto vikampa ubingwa
Ole bado anajifunza kama ambavyo benchi lake zima la ufundi linavyojifunza.
Anajifunza..anajifunza nini??Ole bado anajifunza kama ambavyo benchi lake zima la ufundi linavyojifunza.
... Mwenzake kaondoka
Naiona battle ngumu sana.... Hakuna natural striker hapo. Wote ni wingsFundi Ujenzi Greenwood atamsaidia Masho pqle mbele
Mkuuu Mungu atusaidie tu kwa kweli... Hali si hali kuanzia kiungo mpaka mbele hakuna backup plan... Sijajua kwanini kiungo kimekuwa eroded kwa miaka kadhaa ila hawafanyi reinforcement yoyote ile!Bruno analia kabisa tukamsajili,waapi.
Pogba na Scott wakiumia tunashuka daraja.
Hii picha ilikosewa miaka ya mikataba ila umri ipo sahihi, tuangalie watakavyocheza msimu huu ila naamini tupo kwenye njia sahihi, winga wa kulia na midfield ya maana January ikiwezekana.Taratibu tutapata vijana watakao leta ushindani maana tulishajiribu kuleta majina makubwa kama wengi humu wanavyotaka lakini kilichofwata mkaaza kulaumu kocha hajui kuwachezesha.View attachment 1175783
Mna Maguire, msijali.....Mkuuu Mungu atusaidie tu kwa kweli... Hali si hali kuanzia kiungo mpaka mbele hakuna backup plan... Sijajua kwanini kiungo kimekuwa eroded kwa miaka kadhaa ila hawafanyi reinforcement yoyote ile!
Bro tutaiwaza January tukiwa kwenye nafasi ipi? Tatizo ndipo linapoanza hapo... Msimu uliopita Ole alianza vizuri tokea alipochukua mikoba ila kumbuka kilichofuata baada ya game ya PSG.... So labda awe so cautious kutofanya rotations zisizo na msingi na kustick na watu anaoona wanafit na wana consistence nzuri... La sivyo tutakuwa tena chama la wana na kuendelea kustruggle kwa wolves.Hii picha ilikosewa miaka ya mikataba ila umri ipo sahihi, tuangalie watakavyocheza msimu huu ila naamini tupo kwenye njia sahihi, winga wa kulia na midfield ya maana January ikiwezekana.
Hahaha mm nilishajiandaa kisaikolojia kitakachotokea poa tuHii picha ilikosewa miaka ya mikataba ila umri ipo sahihi, tuangalie watakavyocheza msimu huu ila naamini tupo kwenye njia sahihi, winga wa kulia na midfield ya maana January ikiwezekana.
Hahhaha tufungwe ila si nyingi sana au siyoMna Maguire, msijali.....
Teh teh tehh
The manchester united way.Mi namshangaa sana anaona soka la leo ni kama lile la miaka ya fergie....kwa sababu tu kule molde alisajili vitoto vikampa ubingwa
Tuna nafasi nzuri ya kufańya vzuri zaidi yenu..Hahhaha tufungwe ila si nyingi sana au siyo
Duuh Hii moaning imeenda shule.Bruno analia kabisa tukamsajili,waapi.
Pogba na Scott wakiumia tunashuka daraja.