Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Mshahara alioutaka Ni 20m kwa mwaka na Agent kataka 13m (leaks), hizo Hela man utd kwake sio tatizo, for comparison Sanchez deal lake Ni 26M.Sio kwamba dybala haitaki man u?kila akipandisha mishahara ,man u wanakuwa tayari kumlipa? Akaleta janja kuwa hutaki kukatwa 25% man u isipofuzu UCL ,
Lakini Lingard atabaki standards za Bolton Wanderers kama Jons Evans au Tom Cleverly.Katupia 2 huko. Ni mechi ya Siri mkuu haijaonyeshwa kwenye tv Wala Mashabiki. Wamecheza tu Carrington, nimeangalia Kidogo ngao ya Hisani.
Pogba alikubali pesa aliyoitaka ndo mana alikuja manKwani Pogba alivyotoka Juventus ilikuwaje?
Na anachukua kiukweli, ndoo ipo mikononi mwake nowHakuna kitu kinaniuma roho msimu huu kama kuona pep anachukua treble epl .....rekodi yetu inaenda vunjwa huku naishuhudia waziwazi maana sioni timu yA kuizuia city wasibebe tena ubingwa
Hatakiwi tu kuanza Ila ana umuhimu wake, lingard Ni Big game player Kama vile ji Sung park, anakaba Sana anasaidia midfield na pia mechi kubwa na Ngumu Ni likely kufunga, Jamaa ana record nzuri Wembley kushinda mchezaji yoyote kwenye kikosi chetu kwa Sasa.Lakini Lingard atabaki standards za Bolton Wanderers kama Jons Evans au Tom Cleverly.
Mshahara anaopata Pogba unafikiri haupati Madrid ama Barcelona?Pogba alikubali pesa aliyoitaka ndo mana alikuja man
Lakini Lingard atabaki standards za Bolton Wanderers kama Jons Evans au Tom Cleverly.
Hatakiwi tu kuanza Ila ana umuhimu wake, lingard Ni Big game player Kama vile ji Sung park, anakaba Sana anasaidia midfield na pia mechi kubwa na Ngumu Ni likely kufunga, Jamaa ana record nzuri Wembley kushinda mchezaji yoyote kwenye kikosi chetu kwa Sasa.
Alipata Majeruhi Yeye na martial mechi ya psg, na hata mechi ya Barca ilipokuja hakuwa fit, Kama sijakosea aliingia sub hakucheza hata dakika 90Big game eeeeh mechi na barca alifanyaje huyo pimbi.....
Sasa mimi sijaelewa dhumuni la madai yako nimekwambia man wameachana na mpango wa kumsajili kwa sababu hawajakubaliana na matakwa yake na hiko ndo kitu cha msingi kwa mchezaji yaani kawaambia pesa wao hawataki kutoa iyo hela iyo ni tofauti kwa pogba kwani walikubali kwa upande wake ndo maana tunamuona leo hii. Sasa kama timu haipo UCL na mbovu kiwango cha lami hapo kitu pekee cha ushawishi ni hela tu na wala tusidanganyane sasa kama hamtaki kutoa ushawishi wa hela ndo ivyo itakula kwenuMshahara anaopata Pogba unafikiri haupati Madrid ama Barcelona?
Maana alikuja kwa record ya dunia lakini hakudemand mshahara wa Rooney ama Ibrahimovic, alipata mshahara mzuri ndio lakini Ni fair kwa kiwango chake.
Pogba alivyokuja pia timu haikuwa champions league, sio Pogba tu tumepata bahati ya malegend wengi Kama Bastian, Ibrahimovic, Falcao etc wote walichagua man U na kuacha timu nyingi tu japo hizo timu zipo champions league na Man U haipo.Sasa mimi sijaelewa dhumuni la madai yako nimekwambia man wameachana na mpango wa kumsajili kwa sababu hawajakubaliana na matakwa yake na hiko ndo kitu cha msingi kwa mchezaji yaani kawaambia pesa wao hawataki kutoa iyo hela iyo ni tofauti kwa pogba kwani walikubali kwa upande wake ndo maana tunamuona leo hii. Sasa kama timu haipo UCL na mbovu kiwango cha lami hapo kitu pekee cha ushawishi ni hela tu na wala tusidanganyane sasa kama hamtaki kutoa ushawishi wa hela ndo ivyo itakula kwenu
du jamaa wameona man u shamba la bibi wavune kirahisi tuPogba alivyokuja pia timu haikuwa champions league, sio Pogba tu tumepata bahati ya malegend wengi Kama Bastian, Ibrahimovic, Falcao etc wote walichagua man U na kuacha timu nyingi tu japo hizo timu zipo champions league na Man U haipo.
Na hayo matakwa yanatakiwa yawe realistic, Pogba anakuja Man UTD akiwa kikosi Cha Fifpro, kwa lugha rahisi wachezaji 11 Bora duniani aka alikuja kama mchezaji Bora zaidi kwenye position yake anayocheza na still haku demand mshahara mkubwa wa zaidi ya anacho deserve.
Dybala hajafikia Kiwango Cha Pogba na Kama amewahi kuwa ndani ya Fifpro nimesahau utanikumbusha, then mchezaji Kama Huyu anapodemand Hela kubwa na Agent wake naye akaingia Tamaa akitaka Hela Kubwa kuliko mshahara wa zaidi ya asilimia 90 ya wachezaji wote Epl huo Ni uwenda wazimu. Ukichukua 13M ukagawanya kwa wiki 52 unapata 250K per week, Hela ya Agent,
Ni kweli kabisa Lukaku hapati service ya kutosha pale OT na hili Kuna jamaa zangu huwa nabishana nao Sana.huyu jamaa angekuwa anacheza timu inayompisha vizuri mipira angekuwa anatupia Sana tuMkuu umeongea point kubwa sana.. Huwa nasema kila siku Lukaku akipata timu inayotengeneza nafasi kama zile Manchester City na timu yenye tempo kama ile lazima apige 20+ goals .. Tatizo ni kwamba team haitengenez nafasi za kutosha ..
Hali kadhalika kwa Liverpool wanatengeneza nafasi nyingi sana .. Siku wakipata natural namba 9 kama striker , haki ya mungu Liverpool itakuwa timu tishio sana ulaya ..
Mo salah ni mchezaji mzuri sana ila sio natural namba 9, mipira mingi anaichukulia katikati ya kiwanja na kuanza kukimbia Kitu ambacho kama wangekuwa wana namba Tisa mzuri mabeki wangekuwa wanagawanywa vizuri .. Sana ... United tunakosa hicho .. Nafasi hazitengenezwi na hata hizo chache kina zote n gene wa haziwi zamoto...
Wapumbavu kweli hawaMadrid ni washenz sana.. Yan James + £27.4M hlf pogba atoke! Madrir is crazy..James atazeekea kwenye loan tuu and still no interested team in such!
Real Madrid Offer of £27.4M and James Rodriguez for Paul Pogba has been Rejected by Manchester United. [@brfootball] Wtf Real Madrid
Kama lengo lao ni JAMES atoke pale basi wamruhusu aende Atletico.Wapumbavu kweli hawa
Kwahiyo James atakuwa ana thamani ya pound 100m??
Harry ndani ya NyumbaHarry maguire is now officially annouced by united!
He is red..no hijacking!