Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani ndiyo league ikianza hivi mwezi December watamtimua kocha, mpira mbovu kweli aisee
Ole ni kama vile hajui hata nini anataka maskini ya mungu. Tunaweza kuwapata hao akina Bruno na Dybala ila tusifanye lolote,tatizo likawa kocha.

Hili la Pogba pia inabidi aliangalie,kama hataki ni bora ampige bei kuliko kumharibia timu.
 
A. Young hana mshauri mzuri. Alipaswa awe ameshatafuta timu ya kwenda hata kwa mkopo.
 
Willian alinyakuliwa na Chelsea akiwa amekubaliana na Tottenham kila kitu
Hizi mambo anaezaga Mourihno, ata Lukaku ilikuwa aje Chelsea Mara gafla bin vuu mze baba kapiga tiktak ambakati moja ya Atari mchiz akatua man united ..
 
Hahaha kweli mkuu hizi mambo anaezaga Mourihno, na Mara nyingi kwa wachezaji wengi wa Chelsea kuanzia Didier Drogba, Ob Mikel, Willian na Pedro nadhan.. hata dili la Lukaku kuja man united ilikuwa tiktak za Mourihno.
 
Machache niliyoyaona kwenye mechi ya leo.. MAN U 2(5)-(4)2 AC Milan

1.Hongera kwanza kwa timu kufight kutoka 1-2 mpk 2-2.But haya mafanikio ya preSeason yasitufanye tubweteke tusione mapungufu yetu.

2.Pengo la pogba lilikuwa linaonekana kabisa..Matic hakuweza kuimiliki midfield kbs..amepoteza mipira mara nyingi na kutoa boko lililosababisha goli la kwanza..bado tunahitaji CDM au CM wa maana.

3.Attack yetu bado ingawa wanajitahidi..nasikia tunamchukua madzukic kwa £13mill..labda atasaidia kuleta challemge kwa hawa madogo(rashford na martial)

4.OUR FUTURE IS BRIGHT!!kwanini!??? Kwa sababu tuna Angel Gomez,Greenwood na Chong(hakucheza leo) Hawa watoto wawili wamepiga mpira wa kueleweka mno.

5.Linderlof bado ni beki mzuri ingawa game yake ya leo haikutulia sana BUT inabidi ajiangalie maan TUANZEBE anazidi kuonesha jinsi anavyoweza kuCommand back 4 ile..Tuanzebe ametulia sana..Anafuture man u kiukweli.

6.Rojo amejitahid sana pale katikati..myb hii ni moja ya perfomance zake nzuri tangu simu wa 16/17..nampa credit(pongezi) zake kwakwel.


Recommendations
1.weka maguire na linderlof/tuanzebe hapo kati

2.Sajiri Bruno fernandez na CM au CDM anayejielewa.

3.Malizia usajiri wa Manduzkic na dybala

4.WE NEED A NATURAL RW!!!!
 
Mchezaji yeyote mwenye kiwango kikubwa lazima ata-attract interest za Madrid au Barca hata km wakishindwa kumpata. Huo ndiyo ukweli. Paul, Daud na Eriksen ni wachezaji wanaonekana kuwa na viwango kwa sasa nchini England licha ya timu wanazochezea kutokuwa bora
 
Tukisajili wachezaji 2 waliobaki Bruno fernandes na Dybala, msimu unaokuja tufocus kwenye nafasi 3 tu right winger (Sancho
) DM sijajua nani atakuwa na msimu bora na striker kama tukimkosa mandzukik.....

Huyu Sancho tungejilipua tu maana anaonesha uwezo mkubwa sana sijui kwanini huwa tunajishauri Mara 2 2....isije tokea kama Joao Felix
 
Ujio wa Maguire unatoa nafasi kwa Rojo na Smalling kupigwa bei endapo kuna timu zitaonyesha kuwahitaji.Inasemekana Arsenal pamoja na Everton wanammezea mate Rojo..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…