Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaan sijui kina De ligt wanaopatikana kwa 60, hawaonekan ,

Nimeamini ukiwa na Negotiator na DOF utasajiri vzr bila kupigwa ovyo, na utauza vzr ,

Sasa hivi uwepo wa Michael Edward Mna enjoy ,
 
Upo sahihi..ni mtoto wa fundi Gheorge Hagi

Yani haina haja ya kupata ufundi wa George Hagi kwa 100%
Iwapo kaupata hata nusu ya ufundi wa George Hagi Legend wa Galatasaray aliyewalambisha mchanga Arsenal kwenye Fainali ya Europa basi atakuwa ni bonge la chezaji zaidi ya Pogba, Hazard na Neymar.
 
Yaan sijui kina De ligt wanaopatikana kwa 60, hawaonekan ,

Nimeamini ukiwa na Negotiator na DOF utasajiri vzr bila kupigwa ovyo, na utauza vzr ,

Sasa hivi uwepo wa Michael Edward Mna enjoy ,
Swala sio hawaonekani, je huyo De ligt yuko tayari kuja Man u, kucheza europa lig pamoja Smalling, Lingard na Rashford, aache kucheza CL, pamoja na bonucci, Chellin, bila kumsahau Ronaldo?

Halafu, kitu kingine, wachezaji wanaocheza timu za epl, sio rahisi kuwang'oa kwenye vilabu vyao kwa pesa ndogo
sababu vilabu vina hela. Timu kama Leicester city, Westham, Wolves, Everton n.k, zinamilikiwa na matajiri wakubwa. Ukitaka mchezaji kutoka kwenye timu hizo, lazima utoe mpunga wa kutosha. Maana hawana shida na ki hela chako.

Hii ni tofauti ukienda kuchukua mchezaji Sampdoria.

Kwahiyo hapo hata kama ukiwa na DOF gani .Timu inayouza inakuwa na nguvu, labda mkatapa uwe unaelekea ukingoni.

Note: simkubali Maguire.
 
Unamaanisha pogba ana thamani ya viungo watatu au unashauri timu iongeze viungo? Pogba kwa work rate yake hata akiongezeka kiungo Wa kawaida kama replacement yake na Fernandez inatosha
 
Unamaanisha pogba ana thamani ya viungo watatu au unashauri timu iongeze viungo? Pogba kwa work rate yake hata akiongezeka kiungo Wa kawaida kama replacement yake na Fernandez inatosha
No Pogba hawezi beba viungo 3 ndani yake mkuu

Ninachosema msimu huu ameondoka Fellini na Herrera na hakuna replacement iliyofanyika, hivyo tunahitaji angalau viungo wawili, hata asipoondoka Pogba

Na endapo Pogba ataondoka tunahitaji viungo watatu wapya sasa
 
Aaah tumesomana bro! Ni sahihi
 
Hongereni kwa kumnyakua AWB ni hatua nzuri sana, ila sioni mafanikio yeyote atakayopata chini ya Ole..
 
Tunategemea SUPER FRANKIE LAMPARD atafuata nyayo na ZIDDANE ZIZZOU na sio OLE SENDEKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…