Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama ulisoma habari zilizopita Fergie alipropose welsh aje kuwa Dof wetu. Huyu jamaa alikuwa responsible kuitoa Chelsea toka timu ya mchangani mpaka kuchukua ubingwa, mind nyuma ya Mafanikio ya Mou akiscout wachezaji kama Drogba na Essien.

Hakuishia Hapo alivyoenda Leicester akaleta watu kama Mahrez, kante na Vardy kwa bei chee, walichofanya wote tunajua.

Akaenda Everton, ambapo amefeli na kufukuzwa lakini still alisajili watu kama Gueye kwa 8m tu, kina pickford etc

Jamaa kila anapoenda anajua kutafuta bargain zinazokuja kuwa wachezaji wazuri ama hata World class.

Pamoja na fergie kuwa na influence kwenye Timu woodward amekataa na hadi leo hakuna Dof, usajili utaisha watakuja tu wachezaji randomly wasio na identity yoyote.
 
Haya kasikia malalamiko yenu
 
Tunaenda kuwa AC Milan!
 
That can’t be the case – the Glazers are not good for United and never have been…

Hopefully one day someone will see our message and act on it. The right person or group who will also put fans first.
 
Hahaaah
 
Ole anatiatia tu huruma..nothing big to expect from him
 
Niliona hii habari nikaconclude kuwa Ed Woordward anatuharibia timu uwanjani..
 
Niliona hii habari nikaconclude kuwa Ed Woordward anatuharibia timu uwanjani..
Nshawahi kusema mchawi wa Man Utd ni edo. Ni mwanga aliyetumwa kuroga sijui shida iko wapi. Nasapoti #Graizerout# kwa sabb moja tu.

Wao ndio wangemuogoza Edo...tena wanasikia kilio chetu kilasiku wamenyamaza wanamuona edo kwa anamaana
 
Hapo kwen kwenye makungwi umenichekesha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…