huu uzi hata kwenye match day unadoda... so far 1st half imekwisha manure nawaona wakawaida sana
Haya wadau...tunakutana tena kwenye jamvi..
Habari za masiku tele?
Tunajipanga kwa trebble kwa usajili huu..
Yamekuwa haya tena...Its hasn't been ease playing with the Magpies
.......koh kooohh. Eid mubarak jamani wenye mkeka huu....vipi matokeo? Van-pesa imejibu?
j....Minalfaidhina....VP haijajibu sasa babu SAF anataka arudishiwe 60% ya mkwamnja wake lol!
Wala usijali kaka, nadhan unatujua sie tukianza huwa tunaanzaje.Yamekuwa haya tena...
j
...hahahaha....No Refunds!!!
Wala usijali kaka, nadhan unatujua sie tukianza huwa tunaanzaje.
All in all, exp.yangu inaonesha mech za mwanzo siku zote huwa zinakua ngumu sana, kila team inakaza. Kama ambavyo mech za mwisho zinavokuwa. Wanasema, wat matters is hw u finish it na sio hw you have started.
BTW why asonols fans are so obssed na wachezaj wetu esp RVP? Inahuuuuu?
Ninyi mbona mlianza kutoa judgement ya arsenal squad katika game yetu ya kwanza tu na sunderland?Au hamkujua kwamba mwanzo ni mgumu kwa timu zote?mnasubiri baadae ndo mrudi katika form wakati RVP mmeshamvisha mhogo wake mguuni!Wala usijali kaka, nadhan unatujua sie tukianza huwa tunaanzaje.
All in all, exp.yangu inaonesha mech za mwanzo siku zote huwa zinakua ngumu sana, kila team inakaza. Kama ambavyo mech za mwisho zinavokuwa. Wanasema, wat matters is hw u finish it na sio hw you have started.
BTW why asonols fans are so obssed na wachezaj wetu esp RVP? Inahuuuuu?