IMG_5638.JPG
 
Mnaombeza Aron Wan Bissaka chekini alivowapigia mpira MUFC vs Crystal Palace
teh teh teh
nimeiangalia video kwa sekunde 20 nimeachana nayo na si kwamba sina bando la kutosha.
mkuu nimegundua unashabikia liverpool baada ya kufanikiwa kuziona comment zako kwenye uwanja wenu wa anfield.
je Aron Wan Bissaka anamzidi trent alexander arnold kiuwezo?
naomba uwe mkweli kwenye majibu

msimu uliopita tumemtukana ashley young kwa kukosa kwake uwezo wa kushambulia hususan uwezo wa kupiga krosi za uhakika kuwa ni dhaifu cha ajabu tunamleta tena ndugu yake huoni kama ni kituko cha karne tunachoelekea kukifanya.

huo mpira wa kujiweka nyuma muda wote kama sungura mwenye mimba hata shomari kapombe anao uwezo wa kucheza style hiyo, unapolipa paundi millioni 50 kwa mlinzi wa pembeni anapaswa awe na sifa za kulinda na kupandisha mashambulizi kama walivyo walinzi wengine tuliowahi kuwashuhudia kama vile dani alves, marcelo wa misimu miwili iliopita, alexandro kutoka juve, robertson kutoka liverpool n.k

diogo dalot ana uwezo mkubwa wa kushambulia lakini uwezo wa kujilinda ni mdogo
ashley young amepoteza muelekeo (hawezi kulinda kwa nidhamu wala kushambulia)
aron wan bissaka uwezo wake ni kulinda tu.

kwa maarifa yangu dhaifu kwa mpira huu wa kisasa ujio wa aron wan bissaka itakuwa bado hatujatatua tatizo kwa sababu jukumu la mashambulizi litaendelea kubaki kwa winga.
kwa anayeamini ya kwamba aron wan bissaka atabadilika naomba abaki na imani hiyo mpaka ila mimi siamini kama jamaa atabadilika na sababu kubwa ni aina ya mwalimu tulienaye ni muumini wa pressing kwenye interview.

1133351
 
teh teh teh
nimeiangalia video kwa sekunde 20 nimeachana nayo na si kwamba sina bando la kutosha.
mkuu nimegundua unashabikia liverpool baada ya kufanikiwa kuziona comment zako kwenye uwanja wenu wa anfield.
je Aron Wan Bissaka anamzidi trent alexander arnold kiuwezo?
naomba uwe mkweli kwenye majibu

msimu uliopita tumemtukana ashley young kwa kukosa kwake uwezo wa kushambulia hususan uwezo wa kupiga krosi za uhakika kuwa ni dhaifu cha ajabu tunamleta tena ndugu yake huoni kama ni kituko cha karne tunachoelekea kukifanya.

huo mpira wa kujiweka nyuma muda wote kama sungura mwenye mimba hata shomari kapombe anao uwezo wa kucheza style hiyo, unapolipa paundi millioni 50 kwa mlinzi wa pembeni anapaswa awe na sifa za kulinda na kupandisha mashambulizi kama walivyo walinzi wengine tuliowahi kuwashuhudia kama vile dani alves, marcelo wa misimu miwili iliopita, alexandro kutoka juve, robertson kutoka liverpool n.k

diogo dalot ana uwezo mkubwa wa kushambulia lakini uwezo wa kujilinda ni mdogo
ashley young amepoteza muelekeo (hawezi kulinda kwa nidhamu wala kushambulia)
aron wan bissaka uwezo wake ni kulinda tu.

kwa maarifa yangu dhaifu kwa mpira huu wa kisasa ujio wa aron wan bissaka itakuwa bado hatujatatua tatizo kwa sababu jukumu la mashambulizi litaendelea kubaki kwa winga.
kwa anayeamini ya kwamba aron wan bissaka atabadilika naomba abaki na imani hiyo mpaka ila mimi siamini kama jamaa atabadilika na sababu kubwa ni aina ya mwalimu tulienaye ni muumini wa pressing kwenye interview.

View attachment 1133351


Huyo dogo Trent sio mzuri defensively, hana pace na hata Crosses/feed ana safari ndefu kidogo kuwafikia watu kama Bellerin


Kwa maoni yangu Fullbacks wazuri kushambulia kwa sasa pale EPL ni Benjamin Mendy, Hector Bellerin ambae ana pace sana na Luke Shaw pia

Unajua kwa nini ile game ya Anfield MUFCvs LFC Milner alianzishwa beki mbili na sio huyo Trent?
 
[James Ducker]
Bruno Fernandes' agent Miguel Pinho has met with Spurs officials in London on Wednesday. Fernandes and Lo Celso believed to be Spurs' midfield targets. Manchester United, who met Pinho 2 months ago, have asked him for some more time as they focus on signing a right-back first.
 
Back
Top Bottom