Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Ulichoongea kipo sahihi, na hata kama club itamuuza kwa kauli ya jana ni sawa, lakini siyo kusema hana kiwango. Pogba ni mchezaji mkubwa
 
Jitu jeusi, livivu, sura mbaya kazi kucheza dansi uwanjani, linahangaisha club kubwa kama Man u, huu ni ujinga wa kiwango cha rami aisee, sdhani kama huyu mkinga angekuwa Madrid, Barca au Bayern angeweza kufanya huu upuuzi .....daah
 
Jitu jeusi, livivu, sura mbaya kazi kucheza dansi uwanjani, linahangaisha club kubwa kama Man u, huu ni ujinga wa kiwango cha rami aisee, sdhani kama huyu mkinga angekuwa Madrid, Barca au Bayern angeweza kufanya huu upuuzi .....daah
Pogba kawa Mkinga wa makete mara hii
 

Tatizo la mtimu wenu unataka mafanikio ya fasta wanatakiwa wawe na road map kuelekea mafanikio wapitie transition period watafutefuture potential players from academy na wachezaji wasio na majina then after 3 years mtakuwa mnaongea lugha nyingine kabisa
 
HAMMERS WOULD SELL DIOP FOR £60M
West Ham
would sell defender Issa Diop for £60m, sources close to the player have told Sky Sports News.
Manchester United, PSG and Barcelona have contacted the centre-back’s representatives regarding a summer move.
West Ham want a player in return in any potential deal that would see Diop depart for Old Traffordm but United not willing to give the Hammers the player they want.

..................................
Hali ni ngumu sana hummers wanaubavu wa kuweka jeuri now
 
If possible ungetaja specific game alizocheza vizuri kama unavyosema

Kante alichukua EPL na Leicester akachukua na Chelsea na amechukua WC na France kwenye statistics impact yake inaonekana.Pogba ni mchezaji mzuri lakini impact yake ni ndogo sana kwenye perfomance ya timu.Kama akibadilisha attitude yake Pogba anaweza kuingia hata top 3 kwenye Ballon Dor
Mbappe,Kante & Varane were the best 3 players for France in the World Cup
 
Mashabiki hamumtaki bwana Pogba lakini uongozi unamtaka na umesema hawamuuzi hahaa
 

timu yeyote dunian haiwezi shinda epl au kombe lolote kubwa likiwa na martial,rashford kama washambuliaji huku beki n young,smalling na jones

huyo pogba hata angepigana vip hatuwezi shinda kwa sababu ya wachezaji tulionao n wa kawaida sanaaaaaaa

tuna wachezaji wawili tu wa viwango vya dunia

pogba na de gea

wengine wote wanafaa kuchezea leicester aston villa na wengine kama kina lingard hao n wa league 2 ufaransa huko
 

Tuna wachezaj wa kawaida mno kiasi kwamba jones anaeaza utd anakataliwa na leicester,na ukimtoa pogba,de gea na lindelfo nitajie mchezaji anaeweza kaa at least kukaa bench Man city au barca
 
Tuna wachezaj wa kawaida mno kiasi kwamba jones anaeaza utd anakataliwa na leicester,na ukimtoa pogba,de gea na lindelfo nitajie mchezaji anaeweza kaa at least kukaa bench Man city au barca
Lingard anamuweka benchi messi
 
Inawezekana Pogba ameona Man Utd kushinda kikombe ni ndoto za alinacha.

Ameona asepe akabebe makombe kwingine.
 
Ulichoongea kipo sahihi, na hata kama club itamuuza kwa kauli ya jana ni sawa, lakini siyo kusema hana kiwango. Pogba ni mchezaji mkubwa
He is not loyal to the club,it's better to sell him. Tena kama kuna timu nyingine zinazomuhitaji auzwe huko na siyo Madrid kunakofanya aikosee klabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…