D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
nani anawahitaji?Hahaha hao ndiyo Wanapaswa kuondoka kabla ya kuanza kukusanya maana ukimuangalia Darmian, Rojo na Phil Jones msimu wa tatu sasa hawajawahi kucheza zaidi ya mechi mbili mfululizo
nani anawahitaji?
wanalipwa mshahara kuanzia paundi laki moja
Hii comment ni moja ya comment bora kabisa kuwahi kutokea karne hiiHakuna uhusuiano wowote wa wa position ya CEO na kujua mpira.
Hakuna uhusiano wowote wa CEO na vipaji vya wachezaji kupanda au kushuka.
Hakuna uhusiano wowote wa CEO na Benchi la ufundi.
CEO wa Liverpool ni Peter Moore hakuwahi Kucheza mpira, kuujua mpira, wala hakuwahi kujishughulisha na Chochote kinachohusu mpira kabla ya kuteuliwa CEO na Liverpool mwaka 2017.
Ni mfanya biashara tu na si vyenginevyo! Kutokujua kwake mpira hakuhusiani na Vipaji vya Kina Mane, Salah, VVD and co.
Kwa historia Yake fupi unaweza hata ukapitia hapa → https://en.m.wikipedia.org/wiki/Peter_Moore_(businessman)
Na hawa CEO wa timu nyingi huteuliwa/Huajiriwa kwa taaluma za Kibiashara na si kwa kujua mpira kwani Mpira ni biashara, na cheo cha CEO ni cha kibiashara kusimamia mapato ya timu.
Narudia tena kuboronga/Kuporoka Vipaji kwa Wachezaji ni Poor coaching and Management kwa kocha.
Ni jambo la ajabu kumlaumu Woodward na kusema hajui mpira kwa Kushuka kiwango Martial au Pogba!! Ed anahusikaje na vipaji vya wachezaji? Is he Coach? Psychologist?
Huwezi kusema Ed hajui mpira wakati yeye ni Mfanya biashara! Hata kama ataondoshwa leo hii, basi mwengine atakayepewa nafasi si Cantons wala Dwight Yorke bali ni Mfanya biashara mwengine mwenye uwezo wa kumanage Business in best way kuingiza more profits, na si kuajiri mjuzi wa Mpira.
Sawala la kutoa hela za kunulia Wachezaje ni Chairman ndiye anayehusika kwa 100% na si only Ed kama watu wanavyojiaminisha.
Hivi Chairman/Mmiliki atenge Budget ya £300m kwa ajili ya Wachezaji then Ed anaoubavu wa kusema hatozitoa? Aende nazo wapi?
Sasa Kama Chairman/Mmiliki katoa £150m kwa ajili ya usajili, Ed afanyeje unadhani? Atatumia alichopewa.
Lazima watu wafahamu na kueka mipaka majukumu ya CEO na Technical Staffs.
bingo, mechi za carling cup na pre -season zipo watapata nafasi ya kunyoosha miguuHili ndiyo gumu maana hata team za kuwahitaji hazipo sana sana wataendelea kuwepo bila kucheza na wao hawana shida kabisa maana wanajua hata wasipofanya kazi lazima wale tena mshahara mkubwa
Gaucho alikuwa anakula bata zaidi ya huyo Neymar na uwanjani anapiga kazi kama kawa... Gaucho amewahi sema alikuwa lazima apitie Mtoto kabla ya kwenda kiwanjaninidhamu ya soka inamuharibia Neymar future yake..... Majeruhi ya wachezaji wakati mwengine yanahusishwa na anasa na kutozingatia mazoezi na kuwa psychological unfit....Neymar bata sana zinafanya mwili ushindwe kurespond ipasavyo ndo maana unaambiwa wachezaji wakubwa inabidi wacontrol Sana maisha na nyenendo zao
Kisha wanawarm benchbingo, mechi za carling cup na pre -season zipo watapata nafasi ya kunyoosha miguu
Ilikuwepo japo media hazikuipa kipaumbele.Kulikuwa na WC 2016 au mnataniana?
Nyau weweTetesi fc mpo
Nadhani kuvunja nao mkataba ingekuwa statement tosha kwamba Man Utd inajisafisha.usajili wa kweli unapaswa uanzie kwa huyo bwana bruno fernandez.
kama tungelikuwa ni waumini wa pressing style basi huyo swala james angelitufaa sana
tuachane na hizi habari za ujio wa wachezaji wapya watakaowasili klabuni, hivi hawa vilaza wetu kama vile matteo darmian, ashley young, phil jones, marcos rojo, jesse lingard, mata, alex sanchez tutamuuzia nani?
wenzetu liverpool wameshasafisha mtaro wao kwa kumuondoa daniel sturridge na albert moreno pia huenda wakamuuza nathaniel clyne
Uingereza unaiangamiza hii club.Naamini tukinunua wachezaji wa kutosha nafasi zikaenea vizuri,hata kwa mkopo tutawatoa tu.
Kesi yangu mimi ni rashford kuwa main target kwenye mashambulizi,nitaumia balaa.
tatizo jengine linakuja united hawana uwezo wa kufanya mabadiliko ya wachezaji zaidi ya watano kwa msimu mmoja ndio maana wanahangika kuwapa mikataba wachezaji kama ashley young, juan mata kwa mwaka mmoja mmoja zaidi.Nadhani kuvunja nao mkataba ingekuwa statement tosha kwamba Man Utd inajisafisha.
Ila kuendelea kuwakumbatia ni aibu kwa club kubwa kama United.
Toka 2015 Man umUtd ina wachezaji 18.tatizo jengine linakuja united hawana uwezo wa kufanya mabadiliko ya wachezaji zaidi ya watano kwa msimu mmoja ndio maana wanahangika kuwapa mikataba wachezaji kama ashley young, juan mata kwa mwaka mmoja mmoja zaidi.
ujinga ni kumpa mkataba mpya wa muda mrefu phil jones ndipo walipochemsha, jamaa uwepo wake hauna faida yoyote wala athari yoyote, alipaswa aondoshwe then mshahara wake uongezwe kwa mchezaji ajaye.
smalling + bailly + lindeloff + new signing + tuanzebe = wanatosha kwa msimu mmoja
Am sick-tired of this club..Toka 2015 Man umUtd ina wachezaji 18.
How Pathetic this club has become.
sidhani kama miaka minne ni mengi sana bali watu wa media wanataka kutuaminisha huo pia ni udhaifu wa klabu kuwa na wachezaji wengi waliodumu kwa muda mrefu.Toka 2015 Man umUtd ina wachezaji 18.
How Pathetic this club has become.
Am sick-tired of this club..
Next season we will continue to watch Jones play shit football again..
akutukanaye hakuchagulii tusi.Nimeona mmeanza biashara ya kujenga timu yenu ni sign nzuri ni VERY GOOD SIGNING KWA KUENDELEA KUSTAY SIX PLACE
Mkuu uko sawa kabisa... Ukirejea list ya walioondoka na waliopo sasa hatupati hata droo, mfano:-sidhani kama miaka minne ni mengi sana bali watu wa media wanataka kutuaminisha huo pia ni udhaifu wa klabu kuwa na wachezaji wengi waliodumu kwa muda mrefu.
ryan giggs, beckham, neville brother, scholes, ferdinand, carrick, rooney, wote hao walitumikia klabu kwa muda mrefu lakini wakiwa kwenye ubora unaoeleweka.
tatizo ni kwamba hao wa kwetu sisi viwango vyao havieleweki lakini ingelikuwa wana viwango vya juu hiyo hoja ya kukaa muda mrefu klabuni ingeligeuzwa na kuitwa faida.
maisha yote mshindi ndiye anayeandika historia na kwa sasa sisi ni washindwa hivyo basi acha tuendelee kutukanwa.
Dah huyo dogo ni janga, ni mzuri lakini sio clinical striker. Sidhani kama dogo anaweza kukupa hata goli 20+ kwa msimuNaamini tukinunua wachezaji wa kutosha nafasi zikaenea vizuri,hata kwa mkopo tutawatoa tu.
Kesi yangu mimi ni rashford kuwa main target kwenye mashambulizi,nitaumia balaa.