Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

man utd hata kama tumeweka ubingwa rehan lazima kombe letu,hao wasindikizaji tu.tena ubingwa tunachukuwa kwao kama vile real madrid?
 
kaka ucwe na wac utajionea mwenye hiyo cku.man utd lazima ampgie man city.babu alex ni m2 ambaye anajua kutatua tatizo?
 
man utd hata kama tumeweka ubingwa rehan lazima kombe letu,hao wasindikizaji tu.tena ubingwa tunachukuwa kwao kama vile real madrid?
 
Ukweli ni kwamba jana jamaa walichamsha sana...lakini matumaini ya ubingwa bado yapo sana.
 
Jana nimesikitika sana tulivyotoa draw na everton, tulikua 4-2 up na tuko nyumbani old trafford, ubingwa ndio ushaondoka tena unless tuwafunge city next monday which i doubt it.😱hwell:🙁
 
nimemuangalia yule mtoto Eden Hazard.....aise ni moto ambao ni Messi + Ronaldo combine..... aisee....sidhani kama SAF ataweza kumchukua huyu mtoto mbele ya mafweza ya Real/Barcelona/ManCity/Chelsea endapo yatamhitaji...........nina-imagine akiwa kwenye timu kama Barca/Real pale mbele in combination of Messi/Ronaldo...aisee!!
 
CITY TEAM: Hart, Zabaleta, Clichy, Kompany, Lescott, Barry, Yaya, Silva, Nasri, Tevez, Aguero
 
TEAMS: Man City: Hart, Zabaleta, Clichy, Kompany, Lescott, Barry, Yaya, Silva, Nasri, Tevez, Aguero. Subs: Pantilimon, Richards, Kolarov, De Jong, Milner, Balotelli, Dzeko.

Man Utd: De Gea, Jones, Smalling, Ferdinand, Evra, Carrick, Scholes, Nani, Giggs, Park, Rooney. Subs: Amos, Rafael, Valencia, Young, Welbeck, Hernandez, Berbatov.
 
jamani msiogope mashabiki wa man utd tupo hapa ila tumejificha kama kambale bwawani wakati wa kiangazi,mvua ikinyesha tu tunajitokeza na ndevu zetu!subirini!teh!teh!teh
 
Back
Top Bottom