Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lakini si kuna FFP mkuu?au nayo huna imani nayo?
 
Ni Chelsea tu ndiye aliyekutwa na Hatia kwasababu Boss wake ni Russian hated by all Europeans including UK.

Lakini Man City na PSG wanaendelea Kupeta na kila Siku chunguzi zao Zinafeli.
Kwa upande wangu Siamini katika hili,mkuu ila naamini katika jicho la pep la kuona wachezaji wazuri wenye vipaji na wapambanaji......kwani city ametuacha mbali sana katika ubora wa kikosi...
 
Kwa upande wangu Siamini katika hili,mkuu ila naamini katika jicho la pep la kuona wachezaji wazuri wenye vipaji na wapambanaji......kwani city ametuacha mbali sana katika ubora wa kikosi...
He is great coach but hao wachezaji wazuri bila fedha huwezi kuwapata
 
He is great coach but hao wachezaji wazuri bila fedha huwezi kuwapata
Hamna mchezaji wa Bei kubwa ambayo City inaweza kumnunua Liver,utd, arsenal na Chelsea washindwe...... Ni utashi tu, na Sera za Matumizi kwenye hizo timu husika...........

Pia kununua wachezaji ghari sio ndio kufanikiwa,

Bali mahitaji harisi kwenye kikosi chako,uwezo wa kuona uwezo/vipaji vya wachezaji,na kusimia kutengeneza muunganiko wa timu....

Pep kwakweli amedhihirisha Ni mwamba kwenye hili
 
Heko mkuu,

Kama united wamemudu kununua pogba na wengineo wanashindwa kununua gundogan,sane,jesus,laporte n.k

Pep ni fundi sana,...yule gundogan amemsajiri akiwa anatembelea magongo
 
Talking about history. Even the late Mubutu was once the president of Zaire
History is there, and you can't ignore its importance

That's why despite of bad results in recent years, United is still the club with biggest fan base in the world

That's why Championship club Aston Villa is much big club compared to premier league club Brighton&Hove

That's why despite of the recent results City are enjoying, they still can't fill Empty-had stadium which has the capacity of accommodating 30,000+ plus fans (not even a half of Old Trafford capacity)

That's why this is going to be my last argument with you talking about a team with no history (sorry, it has history which start with oil money)
 
Man City wana structure ambayo ni very favourable kwa kocha yeyote kufanya kazi yake vizuri ukilinganisha na competitors (Liverpool,United,Arsenal,Chelsea )wenzake kuanzia owner Sheikh Mansour + Soriano na Txiki bila hawa Pep asingefundisha City

PSG wana owner kama City lakini wanastuggle kufanikiwa ulaya sababu hawana competent people (like Txiki & Soriano) kwenye management yao

Owner kutoka US priority yao ya kwanza ni faida nje ya uwanja ni rahisi Woodward ku-approve kununua wachezaji kama Bastian,Di Maria,Depay,Zlatan,Pogba,Sanchez kwa sababu kashafanya mahesabu yake timu itauza sana jezi
 
For city give them just 5 years.
They'll meet u.
 
For city give them just 5 years.
They'll meet u.
Are you sure within 5 years City is going to win 15 EPL Titles, 7 FA cups, 4 European trophies, 1 club world cup..... Because that is how big the deficit is compared to United. Hapo sijataja makombe mengine madogomadogo

Kwa akili ya kawaida huoni mashabiki wa United kutaka kwao City washinde kombe kuliko Liverpool ni ishara kwamba City is just small organism

Isitoshe sioni City ikipata mafanikio kwa kasi ya kiasi cha sasa bila Pep. Swali, je Pep ataendelea kuwepo City kwa miaka yote hiyo
 
Mkuu hii Mambo ya Mafanikio na biashara bila motokeo uwanjani........ Tumeshai jadiri Sana humu ndani.........
Hata wamiliki wa city sio wajinga,
City timu ikiendela na Moto huu watakuja kufanya Sana biashara mbeleni,....
Utd ikiendelea na mkwamo huu bishara zitayumba Sana mbeleni....
 
Kwa makombe ni kweli mpo mbali.
Tatizo linakuja kwamba watu wanapoanza kushabikia mpira hawaangalii historia ya mbali huko.
Wanatazama kwa sasa jinsi timu inavyokwenda,ushindi,aina ya mpira, na mbaya zaidi madogo wanatekwa sana kwenye izi PES.

Pep kuondoka sio msimu ujao wala wa kesho kutwa. Yeye alisema anajisikia vizuri akiwa city kuliko club nyingine yoyote aliyowahi.
Ila mm nakuhakikishia kama man u akiendelea kuboronga hivi anadumaa na washabiki walewale.
 
Pia ishu ya kujaza uwanja.
Unakumbuka report ya bbc inaonyesha city yupo top 10 kwenye average ya kujaza uwanja kila game.
Wakwana akiwa dortmond
 
Ni kweli Man akiendelea kuzingua atashindwa kuvutia mashabiki wapya

Lakini usitegemee City kuwa dominant kiasi cha timu nyingine kupotezwa kabisa
 

Ooh its not emptyhad any longer.
Yani average kuanzia 2013-2018 city ana attendance kubwa kumzidi liverpool na chelsea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…