Kwani Mourihno alikuwa nafasi ya ngap hadi anaondoka!?Positioooo 6 (kama zahera)
Point 66.mnakwama wap
Jamani sosha wetu huyu ci tulimsifia sana?? Wachezaji ci wale wale tu?Hivi kuna sababu ya kuendelea kuwa na sosha????
Kwahiyo Leicester wiki iliyopita alikuwa ni bwana wenu
Hongereni kwa kusindikiza mpaka mwisho
Katika award ambazo Klop anapaswa kupata ni kuwa msindikizaji bora
mourinho = nafasi ya 6 akizidiwa kwa pointi 19 dhidi ya liverpool.Kwani Mourihno alikuwa nafasi ya ngap hadi anaondoka!?
Hii timu mimi nimeidharau kiasi kwamba wangekuwa wanajua ninavyowaona kwenye mtazamo wa kipuuzi, hakika wangeacha kucheza soka.
Ole Guna naye ni macho tu kama paka hana mbinu zozote zile, United imekuwa kama Mwanamke Mgumba kila dume linaweka mbinu zake kuona kama atazaa.
Nilimdharau ole tangu aanze kutoa upendeleo wa kijinga kwa english men wake. Huyo rashford utadhani mkwe wake.
Timu imekuwa ya kipuuzi sana, eti Lingard ndiye strike yeye na kichaa mwenzake Rashford hahahaha tumekuwa sacoss ya kugawa hela kwa wachezea mpira.Wangemuacha morinho afu wakamwaga pesa kusajili msimu ujao timu man u ingetisha sana.
Timu imekuwa ya kipuuzi sana, eti Lingard ndiye strike yeye na kichaa mwenzake Rashford hahahaha tumekuwa sacoss ya kugawa hela kwa wachezea mpira.
aiseee attempt zote hizoHii timu mimi nimeidharau kiasi kwamba wangekuwa wanajua ninavyowaona kwenye mtazamo wa kipuuzi, hakika wangeacha kucheza soka.
Ole Guna naye ni macho tu kama paka hana mbinu zozote zile, United imekuwa kama Mwanamke Mgumba kila dume linaweka mbinu zake kuona kama atazaa.
Hana jipya huyo pandikizi. Tunaacha makocha wenye Cv tunabeba huyu msugua benchi.Jaribuni kumvumilia kama Sariball labda OGS anaweza kuibadili timu mwakani, lkn hofu yangu ni hiyo kuhusu walioongezwa mikataba still ni mazee sana kiumri
Timu ya kipuuzi sana hii.
Hana jipya huyo pandikizi. Tunaacha makocha wenye Cv tunabeba huyu msugua benchi.
Ulikuwa unawaza nini kuandika hivi?Tayari mechi yetu na Cardiff city imeshakuwa nyepesi.
Tulikurupuka na ushindi aliopata na kirusi Pogba akachochea kuwa apewe mkataba na kweli tukampa. Sasa imekuwa ndiyo siyo, siyo ndiyo.Duuuh...mbona mapema sana kukata tamaa Mkuu, si Pochetinho kadai hadi aandike historia ya UEFA na Tottenham Hotspur ndipo atakuwa huru kuondoka pale White Hartlane, ss mlikuwa mnataka mumsajili Conte au kocha yupi bora?
Tulikurupuka na ushindi aliopata na kirusi Pogba akachochea kuwa apewe mkataba na kweli tukampa. Sasa imekuwa ndiyo siyo, siyo ndiyo.
Mwanamke kabla hujamuoa atakuwa na bidii sana ila akiolewa hata kuoga haogi. (ndicho kafanya Ole Guna)