Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Baada ya Ole kupewa timu kwa Muda kabla ya kupewa Mkataba wa Kudumu na kuwa 'At the wheel' walikuwa Wakishinda wakafikia Kjitangazia kutaka nafasi ya Pili EPL na kutaka CL.

Lakini leo hawatamani hata kuimaliza hiyo mechi moja iliyobakia.
Ole alianza kwa kasi mpaka tukaona kabisa anaeza fanya maajabu msimu huu...lakini kilichotokea mpaka sasa tunashindwa elewa nini kimempata.! Au ndo wachezaji wamerudi kwenye uhalisia wao. Mourihno alionekana kuibaribu timu kwa kugombana na wachezaji lakini Ole ndo kabisa hauna alichofanikiwa...
 
Ni wajinga tu wanaoweza kuamin Ole anaweza ivusha man u na kuipa mataji, hata kama akipewa miaka kumi, mafamikio yake makubwa labda kuingia top4, regulation ya timu za uingereza ni ngumu, makombe ma nne af uwe na timu mdebwedo, hauchomoki aisee
 
Ni wajinga tu wanaoweza kuamin Ole anaweza ivusha man u na kuipa mataji, hata kama akipewa miaka kumi, mafamikio yake makubwa labda kuingia top4, regulation ya timu za uingereza ni ngumu, makombe ma nne af uwe na timu mdebwedo, hauchomoki aisee
Kile kiti anahitaji apate kocha wa atletico madrid..Kiti kile kinamfaa sana
 
Robertson-Hull City

This is crazy

Hyu dogo nilikuwa namuelewa sana toka alivyokuwa Hull city walikuwa yeye na Maguire timu moja na nilivyoona anaenda Liverpool nilijua tu lazima atafanikiwa..ni hard worker sana! Maguire alivyokuwa Hull nilikuwa na m rate higher kuliko Smalling na kweli amekuja kuonesha uwezo
 
Tusiharakishe sana kuamini hivyo.
Kwani pochetino five years ago angeweza kufikiriwa hata kuwa kocha wa kuleta ushindani EPL ?
Ni wajinga tu wanaoweza kuamin Ole anaweza ivusha man u na kuipa mataji, hata kama akipewa miaka kumi, mafamikio yake makubwa labda kuingia top4, regulation ya timu za uingereza ni ngumu, makombe ma nne af uwe na timu mdebwedo, hauchomoki aisee
 

Pole sana chief ila usiwaze tupo pamoja...cha msingi ninachoona hapa ni kukubaliana na uhalisia sahiv hii timu yetu tuna unga unga sana,kusema kweli nilikuwa naamini wachezaji tunao wa atleast kuingia top 4 bila shida ila nimekuja kujifunza wachezaji wengi tulionao wanatatizo mentally,yaani hatuna wachezaji wapambanaji uwezo wa kucheza wanao ila kwa sahv PL unahitaji pia kuwa tough sana mentally,uzuri ni kwamba ss naona Uongozi wa club umeona tatizo kubwa tulilonalo hvyo lazma watajitahidi warekebishe.

Sema hofu yangu ni kwamba kwa miaka ya hivi karibuni hakuna wachezaji wengi ambao kweli ni genuine World class kitu ambacho tunahitaji na hata ukiwapata gharama yake sio ya dunia hii labda ufanye kubahatisha wachezaji waliona thamani ndogo ndo uwakuze kuwa mastar kama walivyofanya Liverpool kwa Mane na Salah au City kwa Sane na Sterling,Hvyo ss tukubali kuwa wapole tu coz hii process naona inaweza kuchukua muda mrefu mpka tuje kukaa sawa na kurudi on top,maana inabdi pia tupate Technical Director anae jielewa na mwenye mtizamo wa mpira unao endana na Kocha.
 
Lloris 30+ Arrizabalaga 24
Trippier 28 Azpilicueta 30+
Rose 26 Alonso 27 (uchochoro)
Alderweird 29 Rudiger 26
Vertoghen 30+ Luiz 30+ (kimeo)
Wanyama 27 (injuries) Jorginho 26, 27
Sissoko 29+ Kante 27
Dele 24, 25 Barkley 25
Eriksen 27 Hazard 28
Son 26 Willian 30+
Kane 25 Giroud 30+
Lamela 25 Pedro 30+
Moura 26 Odoi 18 (immature)
Sanchez 26 Christensen (kimeo)
Foyth 20-23 Cahill 33+
Dier (injuries) Drinkwater (bench warmer)
Davies 24 Emerson 23-27

if you know what i mean
 

In theory hio ni idea nzuri sana na kama ingewezekana Management lazima ingebadilika haraka sana,sema practically hicho kitu hakiwezi tokea mkuu shida ni kwamba Man Utd mpka sahiv imeshakuwa brand kubwa sana duniani sio ulaya tu wana fanbase kubwa kuliko timu zote za mpira wa mguu hvyo watu wanaotaka kuja kucheki game wanatokea sehemu tofauti tofauti duniani na wanakuja kucheki game na Uwanja wa Old Trafford kama watalii hvyo kuorganise mgomo wa style hyo ni next to impossible hata seasonal ticket holders wote wakigoma kwenda bado kuna watu wengi watakata ticket kwenda kucheki game tu!

Arsenal walijaribu kufanya hyo kitu kipindi cha mwisho mwisho cha Wenger sema kila mara walikuwa wanafeli,wakaishia kuingia tu na mabango na kurusha ndege zenye mabango,hata hiii Campaign iliyoanzishwa na baadhi ya mashabiki twitter ya ku unfollow Man utd sioni kifanya lolote ni kama kupoteza muda tu,maana ww una unfollow anakuja mwingine ana follow haibadilishi chochote!
 
Kwa Sasa focus yetu iwe kurudi kucheza champions liege next season then ndo tupambane kufanya usajili coz tukilazimisha msimu huu tutaokoteza magalasa tu au wachezaji wenye tamaa ya pesa na sio kujitoa kwa ajili ya timu!
 
Kwa Sasa focus yetu iwe kurudi kucheza champions liege next season then ndo tupambane kufanya usajili coz tukilazimisha msimu huu tutaokoteza magalasa tu au wachezaji wenye tamaa ya pesa na sio kujitoa kwa ajili ya timu!

Shida ni kwamba kwa kikosi hichi hata kuingia hyo top 4 ni ishu ss bila mabadiliko unaona kutakuwa na tofauti yyote hapo mkuu? kuna wachezaji wazuri wanaojituma wanaweza patikana msimu huu but ofcoz sio ambao wataweza kuturudisha on top ila atleast top 4..
 
Klabu yetu ingekuwa na system nzuri kiuchezaji tungefaidika sana mana tuna academy nzuri na yenye watoto wazuri sana,ila tutaishia kuwapoteza na kuwaona wamefail kudevelop kumbe tunataka warushiane mamipira ya mbalimbali tu. Namwangalia Gomes, Garner,chong, greenwood, Pugmal n.k. Hao wote kama tungekuwa na mfumo kama Wa Man city hivi watoto tumgeona potentiality zao
 
Inasemekana Herrera tayar kamalizana na Psg akisaini mkataba wa miaka 3 na mshahara £160,000 kwa wiki.

Ila hapa tunajifunza pia wachezaji na timu zao(Agent) muda mwingine wanazingua na kutafuta mianya ya kupiga madili makubwa.

Herrera na kambi yake walikuwa wanalazimisha kupata mshahara wa.£200,000 kwa wiki akiwa na umri wa miaka 29 na hata club walijitahid mpk kufikia £150,000 wampe lkn kambi yake ikagoma na club ikaghaili pia. Sasa tazama anaenda kulipwa £160,000 kwa wiki na sio £200,000 kama alizodai United ina maana hata Psg wamegoma na wameona si sahihi na hastahili kupewa paundi laki mbili japo wanampata bure sabab ikiwa na umri pia ndo mana bado hata muda wakatoa miaka 3 na sio 4 wala mitano
 
Hata aibu huoni Tutashangilia Spurs hahahahahahahahah shangilia limkweche lako hili la mtaa wa 6
Aibu ya nini sasa? Hatuna namna sisi na Liverpool hatumshangilii. Spurs abebe ndoo, tutapumua mjini humu.
 

Herrera kama Sanchez mjanja sana na hii kitu wachezaji wengi hufanya sahv esp waliojijengea majina yaani ukishaona umri wako umeenda yaan kuanzia 30 au karibia hapo na mkataba wako unakaribia kuisha unachofanya ni kudemand mshahara mkubwa iwezekanavyo coz unafahamu huo ndo unaweza kuwa mkataba wako wa mwisho top level, timu uliyopo wakikataa unaondoka bure timu itakayokuchukua lazma either itakupa signing on bonus ya maana au utapewa mkataba mnono kwasababu hawajatumia hela yoyote kukununua!

Ni kweli Woordward alipaswa kuanza hizo process za mkataba mpya mapema sema hata Herrera kwa mtizamo wangu mm hana tofauti yoyote na wapenda hela wengine tu na kuondoka kwake kwangu mm wala hakujanikosesha usingizi wacha asepe! kwa mtu ambae alikuwa anadai anaipenda timu kweli huwezi ondoka kwa sababu za ajabu ajabu kama alivyofanya!
 
TUZO ZA MAN UNITED
Tahith Chong - Mchezaji bora wa kikosi cha akiba
Mason Greenwood - Mchezaji bora wa kikosi cha vijana
Tuzo zinaendeleaView attachment 1092905
Dah jamaa wadogo lakin wana future kubwa sana kwa siku za usoni! Bongo huku umri umeshasoma mkubwa tu, bado watu wanakimbizana na gwajima..dah ila no way
 
Wenzenu tunaenda Fainali nyie mnachokijua ni kelele bata mziga nyie kwisha habari yenu.
 
Tar 1 mkaishangilie tena Tottenham kama kawaida yenu wazee wa kujipendekeza wazee wa kujikombakomba kwa wanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…