Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Mpaka sasa hili suala limeshachosha ina maana man u wanatafuta mtu wa kuchukua hiyo nafasi Moja tu for three years ?
Kuhusu Sporting Director
Muda wa majaribio umepita pale OT, tulipaswa kupata mtu ambaye ameshaifanya ile kazi kwa mafanikio
Tumeweka kocha ambaye bado hajawa proved kwenye highest level
Ghafla tunakuja kwa Sporting Director ambaye hajawahi kufanya hiyo kazi
Kama ni lazima kuajiri ma legend, ninaimani wapo wengi ambao angalau wamefanya kazi kama hizo mfano Van de Sar na wengine wengi