Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ooh zaltan how angry you ar to move ur team. Kangoa kifus kwa mkono. Yan pale united hakuna mbegu kama hii, labda lukaku ndy anakuwaga na hasira ya kupata tokeo hata kama ni tembo
20190426_145833_rmscr-1.jpeg
 
Ooh zaltan how angry you ar to move ur team. Kangoa kifus kwa mkono. Yan pale united hakuna mbegu kama hii, labda lukaku ndy anakuwaga na hasira ya kupata tokeo hata kama ni temboView attachment 1081721
Huyo ni Mnyama ,moja Kati ya usajili bora tuliowahi kuufanya siku za karibuni ameinufaisha klabu kimapato hadi kimafanikio ndani ya uwanja japo alikaa muda mchache akaondoka
 
Mkata umeme Kante anaweza asicheze game ya United

Hii inaweza kutusaidia, maana kwa kiwango cha sasa tunahitaji majeruhi kwa timu pinzani
 
Kutoka vyanzo mbalimbali, Wachezaji 7 wapo sokoni.

DeGea anatakiwa PSG kwa £60M.

Lukaku anaenda Italia.

Pogba anatakiwa Madrid ikiwa pamoja na deal la kupewa wachezaji wawili.

Sanchez ana tetesi za kwenda Italia endapo atakubali kushusha mshahara.

Mata haijajulikana wapi ataenda.

Rashford anatakiwa na Barca kwa £100M japo Utd wanataka £150M

Valencia anaondoka huru.

Rojo anarudi Argentina.

Herrera anaenda PSG.

Darmian hajulikani aendapo.
 
Kutoka vyanzo mbalimbali, Wachezaji 7 wapo sokoni.

DeGea anatakiwa PSG kwa £60M.

Lukaku anaenda Italia.

Pogba anatakiwa Madrid ikiwa pamoja na deal la kupewa wachezaji wawili.

Sanchez ana tetesi za kwenda Italia endapo atakubali kushusha mshahara.

Mata haijajulikana wapi ataenda.

Rashford anatakiwa na Barca kwa £100M japo Utd wanataka £150M

Valencia anaondoka huru.

Rojo anarudi Argentina.

Herrera anaenda PSG.

Darmian hajulikani aendapo.
Mata asisepe sema tu hapati namba ila asepe tu lakin kam asiondoke hiv
 
Kwa Rashford hata tukipata £35 milioni tushukuru Mungu

Mata wanamtaka Barca

Kutoka vyanzo mbalimbali, Wachezaji 7 wapo sokoni.

DeGea anatakiwa PSG kwa £60M.

Lukaku anaenda Italia.

Pogba anatakiwa Madrid ikiwa pamoja na deal la kupewa wachezaji wawili.

Sanchez ana tetesi za kwenda Italia endapo atakubali kushusha mshahara.

Mata haijajulikana wapi ataenda.

Rashford anatakiwa na Barca kwa £100M japo Utd wanataka £150M

Valencia anaondoka huru.

Rojo anarudi Argentina.

Herrera anaenda PSG.

Darmian hajulikani aendapo.
 
Muafaka wa Jones. Smalling. Young. Lingard. Matic. Haujajulikana bado.
hakuna timu iliyo serious inaweza kumtka young au lingard.

Hao ni wakufukuza.


Hao wote isipokuwa matic wana mikataba mipya, sielewi ni kwanin unasema muafaka wao haujajulikana.
 
Race for Top 4, Next EPL fixtures

Man Utd vs Chelsea
Huddersfield vs Man Utd
Man Utd vs Cardiff

Man Utd vs Chelsea
Chelsea vs Watford
Leicester vs Chelsea

Leicester vs Arsenal
Arsenal vs Brighton
Burnley vs Arsenal
 
Pep alisajili wachezaji 11 alipoikuta Man City ilishafika nusu fainali UEFA lkn alifeli kwa kipa aliyemsajili badala ya Joe Hart kutimuliwa kwenda Italy ndipo Pep akasajili kipa no 1 wa Man City ss hv, Je Pep si kocha bora hadi asajili kipa pazia
Alisajili karibu timu nzima na akafukuza nusu ya timu akasajili tena karibu timu nzima
 
Na EUROPA itawahusu tu mtake msitake WAUZA GONGO NYIE WA YOMBO VITUKA
 
Race for Top 4, Next EPL fixtures

Man Utd vs Chelsea
Huddersfield vs Man Utd
Man Utd vs Cardiff

Man Utd vs Chelsea
Chelsea vs Watford
Leicester vs Chelsea

Leicester vs Arsenal
Arsenal vs Brighton
Burnley vs Arsenal
Dah apa naona Chelsea hatuna pa kuponea. Bora tukomae na Europa tu..
 
Back
Top Bottom