Maisha yanaenda kasi sana,yan man u wamekua mdebwedo kiasi hiki,watu wanajipigia tu tena pale pale ot,mmenikera sana manyau kwa kunipotezea usingizi wangu,na msipoangalia msimu ujao mtakua level za kina burnley,yan mmetoka kuwa mashetani mpaka kuwa manyau!dah!