Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ebu mwambie naona jamaa anaongea vitu vya kusadikika.
Ww watu waache city washabikie man u.
Mwanangu mwenyewe alikuwa ajui mm city ila nikashangaa siku anaonhelea mambo ya city yupo darasa la kwanza
 

Hicho ndiyo ambacho nakizungumzia pia.

Kama timu haishindi, hata ukiangalia unakuwa muda wote unawaponda kina Smalling, Rashford nk.

Mtoto ataipendaje timu ambayo baba unaiponda?
 
Yani swala la madogo ndo usiseme
Maana amna dogo anaeweza kushabikia man u.
Ni barca na city kwa sasa
 


City itarudi kuwa kama Chelsea wakati tajiri ni muarabu au unadhani Waingereza wana uadui kwa waarabu kama ambavyo wanawadiss warusi
 
Hicho ndiyo ambacho nakizungumzia pia.

Kama timu haishindi, hata ukiangalia unakuwa muda wote unawaponda kina Smalling, Rashford nk.

Mtoto ataipendaje timu ambayo baba unaiponda?
Lazima akushangae kwanini huamii timu inayocheza nayo hasa pale inapokuwa inacheza mpira mzuri Kama city(pass safi, possession, tackling, block, magoli inafunga Kama yoooote), mtakuwa mnaangalia mechi wewe unamlaum kocho na Smalling yeye anavutiwa na loy sane na Pep......
 
*Man United VS Man City*


Funny thing is that today only *Liverpool fans* are the ones that will be supporting *Man United*..... even we *United fans* ourselves will be supporting *Man City*....

*Man City* is winning today match against *Man United* if *Liverpool* like let them borrow us *Salah, Mane, Van Dirk* plus *Firmino*
We will still lose to *Man City*


*Man City* is winning the *League*

From a united grp
 
Kuna maboya Plastic Fans kweli,
Yani Man Utd ipoteze fanbase yake kwa kutobeba makombe ndani ya Miaka 10 or something?
Kajifunzeni soka Tena
Liverpool alikaa karibu 30 yrs na bado ana fans
Tangu premier league iwe premier league hajawahi beba na bado ana fans (wazee wa this is our year)kila mwaka
(YNWA-You Will Never Win Anything)

Mnajua mara ya mwisho Man Utd kubeba ndoo ilikua lini (Moyes anasilverware,VanGaal anandoo, Mourinho na uchizi wake nae katupa ndoo)
So mnaongelea Nini?
Na takwimu ni Man Utd ana fanbase ya more than 600m people around the world ambao actively wanafollow Man Utd everyday.

Mnazungumzia mabanda umiza gani ambayo hayajazi Mechi za Man Utd (seriously?)
Msiseme eti Brand na mapato yanashuka coz hamuoni jezi eti za Man Utd huko kwenye Mabanda umiza,huko jezi ziwepo zisiwepo (I Know zipo mie pia za msimu huu ninazo) hizo Ni za kkoo hazina impacts yeyote kwa Man Utd, coz sio official zile za more than £99 Original from Man Utd Stores hizo Bado zinakimbiza sana kaangalie tu takwimu za mauzo ya Jezi za Pogba, Ibrahimovic,nk
Ndio maana Ed Woodward anawacheki afu anasema Hiiiii
 
Povu jingi mtabeba EPL 2045 huko
 
Liverfool mara ya mwisho kubeba EPL lini?
Arsenal lini? Chelsea lini?Spurs?
Sasa ajabu nini kwa Man Utd adi watu wawashwe washwe?
Plastic Fans tu ndio watahama... football is a religion...Ni Kama kabila huwezi badili
Hao wanaohama ndio watoto wajuzi ambao walianza kuipenda Chelsea kwa ajili ya Drogba,
Liverpool hadi leo ana fans... unajua EPL kabeba lini mara ya mwisho?
Jifunze soka...sio ushabiki maandazi
Povu jingi mtabeba EPL 2045 huko
 
Wale wapenda soka na mashabiki damu wa Man United, hii game ya leo mnaionaje?

Kwa upande wangu naona game ya leo inaweza isiwe ngumu sana ikiwa tutaiangalia kwa akili ya kawaida. Lakini kiualisia hii game ya leo ni ngumu sana, kwetu na kwa upande City pia.

Point ni kuwa United bado tunayo nafasi ya kuwepo nafasi ya 3 au ya 4, ndio sababu kubwa kuwa pamoja na ubovu wa kikosi chetu hata hivyo leo hatuwezi kucheza kwa kurahisisha ushindi kwa City. Naiona game leo itakuwa ngumu kuliko, kwa 70% imetawaliwa na matokeo ya draw.
 
Angalia age ya washabiki wa Liverpool, Ni kweli bado liver inawashabika lakini vipi Kama ingekuwa inaporform vizuri uwanjani na makombe inabeba leo hii fan base yake ingekuwaje
 
Dooh, Leo nacheka sana.
Kati ya siku ambayo sijisumbui kubana nanilii zangu ili tushinde ni Leo
.
Liverpool watafanya hivyo badala yangu.

Kabisa, halafu naomba nitumie voice note ya wimbo wa Glory Man United nianze kupiga zoezi kabisa la kuimba.

Lazima tuwajulishe City kwamba hela hainunui heshima, Man Utd tutabaki juu, mawinguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…