Manchester United (Red Devils) | Special Thread

rsenal starting XI: Leno, Jenkinson, Mvropanos, Mustafi, Koscielny, Kolasinac, Elneny, Guendouzi, Ozil, Lacazette, Aubameyang
Subs: Cech, Monreal, Maitland-Niles, Torreira, Mkhitaryan, Iwobi, Nketiah
Game saa ngapi hii!? Manake Hawa Aseno hicho kipondo watachotoa kwa Palace hadi huruma
 
Mmemsbupalia kocha ndio mwenye shida.. wkt shida iko kwa wachezaji na uongozi wenyewe.
Man u ya sasa hata aje malaika awe kocha kwa wachezaji hawa.. atafungwa tu.
Tatizo haliko kwa kocha bali team yenyewe.. hawana wachezaji wa kueleweka

Nadhani umesahau kuwa Wakati Ole anakabidhiwa timu na ikaanza kushinda Mfululizo alianza Kutupiwa Misifa Kibao na Mourinho akaanza kutukanwa kuwa alishindwa Kuwatumia Wachezaji.

Sasa Kama Ole huyuhuyu alisifiwa Timu ilipokuwa ikishinda kwanini Leo Mumvue Makosa?
 
Kwa game ya city asijali yalopita angepanga watoto kadhaa na wale wachezaji wote wanaokaaga benchi ili tujiandae dhidi ya Chelsea. City watufunge tu ili Liverpool wasichukue ubingwa na kibaya zaidi eti sisi tuwe daraja lao,MBWA HIZI ZIPAMBANE NA HALI ZAO!!
 
Woodward na mabosi wa Man U ni wabahili,tusitegemee makubwa kwenye usajili
 
Mmemsbupalia kocha ndio mwenye shida.. wkt shida iko kwa wachezaji na uongozi wenyewe.
Man u ya sasa hata aje malaika awe kocha kwa wachezaji hawa.. atafungwa tu.
Tatizo haliko kwa kocha bali team yenyewe.. hawana wachezaji wa kueleweka
Ole wetu mbona alianza vizuri tu ..au hasira ya wachezaji kumchukia Mourihno ..sasa hasira imeisha wamerudi kwenye khali ya kawaida.

Au timu zmeshajua Ole ni mviziaji anategemea kauntatakki...
 
Haha ollachuga my friend. Anaye cheza mpira ni olle au wachezaji?
Ole ameshasajili mchezaji hata mmoja.?
Ishu sio kumlaumu hapana.. ila tatizo kubwa liko wachezaji. Kuweka ucshabiki pemben man u hana kikos cha ubingwa kwa sasa.
Ole wetu mbona alianza vizuri tu ..au hasira ya wachezaji kumchukia Mourihno ..sasa hasira imeisha wamerudi kwenye khali ya kawaida.

Au timu zmeshajua Ole ni mviziaji anategemea kauntatakki...
 
Hauwezi kuipenda Man U hata kwa ajili yangu
?
Btw we are united

we fall seven times and stand up eight.

Welcome to the gang! I can imagine what it feels like. We at #LFC have said this for 28 years now.
#ManUtd fans had a good laugh at us. And now, for 6 yrs we seem to be in the same boat.
Our 28 was aslo 6 once, you'll find out soon.
#YNWA
 
Hahaha tangy lini Manchester United na Liverpool zikàwa marafiki? Hahaha sijapata ona aise ..bora umesema mapema..
 
Ndio maana narudi pale pale. Mou alipoanza alisifiwa sana kama unakumbuka. Baadae mambo yakawa mabaya. Kuweka ushabiki pemben binafsi nilijua tu walikuwa wakicheza kumuonyesha mou kwamba ni mbaya.. ila sio kuifikisha timu popote.

Sasa yale yale madudu yanajirudia. Man u wanakibarua cha kujenga timu upya.
 
Haha ollachuga my friend. Anaye cheza mpira ni olle au wachezaji?
Ole ameshasajili mchezaji hata mmoja.?
Ishu sio kumlaumu hapana.. ila tatizo kubwa liko wachezaji. Kuweka ucshabiki pemben man u hana kikos cha ubingwa kwa sasa.
Kwa iyo mkuu wachezaji ndo wanamfelisha Ole? Mbona gemu kadhaa za nyuma walikimbiza fresh tu? Au pengine baada ya Ole kuwa kocha mkuu ..sasa yeye ndo mwenye maamuzi ya mwisho, yeye ndo anapanga nan acheze na nan asicheze, kipind bdo hajakabiziwa usukan alikuwa anapokea maelekezo kwa Karrick na yule mwingine ..sisi Man u fans tunashindwa kuelewa kabisa mkuu Detective..
 

Kumbuka Timu haijengwi kwa Mwaka Mmoja!

Klopp huu anelekea Mwaka wa 5 kila Msimu ananunua Wachezaji Kujenga Timu na Tunamstahamilia, Tunamkosoa tu lakini hatuja}wahi Kumuingiza kwenye Pressure ya KLOPP OUT.
Sasa sidhani kama Man U wataweza kumstahamilia OGS hata miaka 2 ijayo ya kujenga Timu.

Na akija Kocha mwengine hapewi muda wa kutosha wa kujenga Timu anatimuliwa jambo ambalo litaifanya Timu ichukuwe muda mrefu kukamilika.
 
Mchawi wa man u ni furgeson na edwoord
Pamoja na wachezaji kuwa na shida kubwa na mengineyo,hii ndio shida kubwa sanaaaaa,ambayo watu wengi humu hawaioni na kuizungumzia. Kila nikifikiria Liverpool ina wachezaji gani ambao ni world class players naona ni Salah tu. Kwa nn wanacheza vizuri ni kwa sababu ya mfumo tofauti na mzuri wa kocha. Tunahitaji kufundisha Possession football and counter attacking football kwa pamoja ili timu iwe na uwezo wa kufanya hayo yote mawili.
 
ningefurahi zaidi timu ingemaliza nafasi ya nane ili isishiriki kabisa mashindano yeyote ya ulaya ili tuanze na fresh page

fatigue, team selection, subs, willingness, poor marking na ubora wa Everton ndo sababu ya kupoteza leo nilivyoona mimi
Yaani wewe unawaza kama mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…