Mmemsbupalia kocha ndio mwenye shida.. wkt shida iko kwa wachezaji na uongozi wenyewe.
Man u ya sasa hata aje malaika awe kocha kwa wachezaji hawa.. atafungwa tu.
Tatizo haliko kwa kocha bali team yenyewe.. hawana wachezaji wa kueleweka
Oooh wachezaji ni wale wale sasa hivi mbona tunashinda Mourinho alikuwa sio kocha Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Muda wa ku mprove wrong Mourinho umeisha MAISHA YANAENDELEA SASA.
Oooh wachezaji ni wale wale sasa hivi mbona tunashinda Mourinho alikuwa sio kocha Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Muda wa ku mprove wrong Mourinho umeisha MAISHA YANAENDELEA SASA.